Uzi wa Matembezi (Travel & Vacations) na Vivutio vya Utalii nchini Tanzania

Uzi wa Matembezi (Travel & Vacations) na Vivutio vya Utalii nchini Tanzania

Chemka ni pazuri ila tu sasa pamekosa usimamizi kabisa can you imagine hakuna msosi wa kueleweka hapo kabisa
 
Naongezea swali ,
Na jee kuna camp zinazopokea wageni?.
Gharama zao hizo hapo
PicsArt_02-16-05.45.22.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chemka ni pazuri ila tu sasa pamekosa usimamizi kabisa can you imagine hakuna msosi wa kueleweka hapo kabisa
Yeah kuna mchangiaji mmoja hapo juu amelizungumza hili pia, kwangu mimi naona hii ni fursa nzuri kwa wadau wanaoweza kuwekeza kwenye huduma ya chakula.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom