Uzi wa picha: Waarabu waking'oa viti Kwa Mkapa

Uzi wa picha: Waarabu waking'oa viti Kwa Mkapa

Sisi tusioingia uwanja wa taifa tuelezeni tuelewe ni vipi viti huonekana kuwa silaha ya haraka katika mapambano!? Vimebandikwa tuu! Au wadau wanakuwa na screw driver na spana!?

Anyway, kwa tunavyoambiwa kuhusu fujo za waarabu nadhani kama na mi ningekuwepo ningetumia njia hiyo hiyo kujihami. Viti ni vyetu kwa maana vimepatikana kutokana na kodi zetu na usalama ni wetu. Kodi zitumike kurekebisha.

Kikubwa ni point tatu.
Bado hamjaenda Kwao
 
Weka na Ile ya kurusha viti
Sema ni viti vingapi vilipwe haraka🤔
IMG-20241216-WA0012.jpg
 
Sisi tusioingia uwanja wa taifa tuelezeni tuelewe ni vipi viti huonekana kuwa silaha ya haraka katika mapambano!? Vimebandikwa tuu! Au wadau wanakuwa na screw driver na spana!?

Anyway, kwa tunavyoambiwa kuhusu fujo za waarabu nadhani kama na mi ningekuwepo ningetumia njia hiyo hiyo kujihami. Viti ni vyetu kwa maana vimepatikana kutokana na kodi zetu na usalama ni wetu. Kodi zitumike kurekebisha.

Kikubwa ni point tatu.
Unakuta huyu ni mbumbumbu alf CCM what a combination
 
Sasa hao "waarabu waliong'oa viti" wamepata wapi jezi za ubaya ubwela??[emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo ndio linashangaza mkuu [emoji23][emoji23].... makolo watuambie vizr
 
Back
Top Bottom