Tena utopolo mshangazi maana si kwa wivu huoNina wasiwasi kuwa Labani og lazima atakuwa ni utopolo tu😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena utopolo mshangazi maana si kwa wivu huoNina wasiwasi kuwa Labani og lazima atakuwa ni utopolo tu😁😁
Aliwastudy vema sanaJamaa alitabiri vizuri
Hizi ni baadhi ya picha za waarabu waking'oa viti uwanja wa taifa so sad Kwa kweli
Picha ya kwanza ni mwarabu mweusi
Picha ya pili ni mwarabu mweye jezi ya Simba aking'oa kiti na kurusha uwanjani
Bitozo alivyo mpenda KIKI utashangaa anawalipia simba viti vilivyong'olewa.Sema ni viti vingapi vilipwe haraka🤔 View attachment 3178000
AkilindogosanaBitozo alivyo mpenda KIKI utashangaa anawalipia simba viti vilivyong'olewa.
Duh.Tena utopolo mshangazi maana si kwa wivu huo
Ukifuatilia utakuta ni kweli ana jina la kiarabuWaarabu weusi
Wewe utopolo wa head hao walikua wanawarudishia viti wao hao waraabu waliong'oa ....Hizi ni baadhi ya picha za waarabu waking'oa viti uwanja wa taifa so sad Kwa kweli
Picha ya kwanza ni mwarabu mweusiView attachment 3177982
😅😅Hizi ni baadhi ya picha za waarabu waking'oa viti uwanja wa taifa so sad Kwa kweli
Picha ya kwanza ni mwarabu mweusiView attachment 3177982
MASHABIKI YA MAKOLO FC NI MAJINGA SANAA!SIO MASTAARABU KABISAA!!SASA UNANGOA VITI ILI IWEJE!NDO MAANA TRUMP ALITUTUKANA NGOZI NYEUSIHizi ni baadhi ya picha za waarabu waking'oa viti uwanja wa taifa so sad Kwa kweli
Picha ya kwanza ni mwarabu mweusiView attachment 3177982
Utopolo bado mna hasira ya Lubumbashi😎Lakini kaleta ukweli ulikuwa unawasingizia waarabu,kakuumbua ndio maana unaona shida.
Chuki na umasikini na ujuaji ndiyo perfect combination. Kila moja aondoke na combination yake maza Fanta.Unakuta huyu ni mbumbumbu alf CCM what a combination