Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashabiki wa mikia wengi wao ni washambaHizi ni baadhi ya picha za waarabu waking'oa viti uwanja wa taifa so sad Kwa kweli
Picha ya kwanza ni mwarabu mweusiView attachment 3177982
Hawa si waarabu bali watumwa wa kawaida huwa wanaitwa abidHizi ni baadhi ya picha za waarabu waking'oa viti uwanja wa taifa so sad Kwa kweli
Picha ya kwanza ni mwarabu mweusiView attachment 3177982
Mchome amegawa jezi kwa ufadhili wa utopoloSasa hao "waarabu waliong'oa viti" wamepata wapi jezi za ubaya ubwela??[emoji23][emoji23][emoji23]
CcTv camera si zipo, hawa wawajibishwe personally, tusiwe na Falacy of generalization kwamba mashabiki wa Simba waling'oa viti.[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 3177984
Mashabiki hatuendiBado hamjaenda Kwao
Kwa kanuni za mpira, fujo za mashabiki viwanjani zinaigusa klabu husika moja kwa moja mbali na shabiki husika. Shabiki anaweza kuzuiwa kuingia uwanjani, klabu inatozwa faini na hata kufungiwa kutumia kiwanja chake au kucheza bila mashabiki.CcTv camera si zipo, hawa wawajibishwe personally, tusiwe na Falacy of generalization kwamba mashabiki wa Simba waling'oa viti.
Kwa namna ile ni baadhi
Imagine vyote unavyoChuki na umasikini na ujuaji ndiyo perfect combination. Kila moja aondoke na combination yake maza Fanta.
Simba ni majitu mapumbavu! Nimeona ile press release yao ni kama majitu hayajielewi utetezi wa kipumbavu kabisa! Eti Waarabu ndio walifanya vurugu! Sasa kilichowafanya wang'oe viti ni nini? Hivyo viti vilikuwa vya Waarabu?Hizi ni baadhi ya picha za waarabu waking'oa viti uwanja wa taifa so sad Kwa kweli
Picha ya kwanza ni mwarabu mweusiView attachment 3177982
TakatakaSisi tusioingia uwanja wa taifa tuelezeni tuelewe ni vipi viti huonekana kuwa silaha ya haraka katika mapambano!? Vimebandikwa tuu! Au wadau wanakuwa na screw driver na spana!?
Anyway, kwa tunavyoambiwa kuhusu fujo za waarabu nadhani kama na mi ningekuwepo ningetumia njia hiyo hiyo kujihami. Viti ni vyetu kwa maana vimepatikana kutokana na kodi zetu na usalama ni wetu. Kodi zitumike kurekebisha.
Kikubwa ni point tatu.
KatakataTakataka
Unamuuliza nani!! Tuliza mshono upunguze jazba, viti vitarudi na game nyingine zitapigwa. We pambana kutafuta nafasi katika kundi lako... au viti ndo vinakunyima ushindi kwenye mechi zako?Simba ni majitu mapumbavu! Nimeona ile press release yao ni kama mauti hayajielewi utetezi wa kipumbavu! Eti Waarabu ndio walifanya vurugu! Sasa kilichowafanya wang'oe viti ni nini? Hivyo viti vilikuwa vya Waarabu?
Sanaaaa haya makolo MAJHINGA KABISAAYametuaibisha