Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiti kilirushwa Toka juu ...na kolo mwenzake....huyo alikidaka na kukiongeza mwendo kwenda Kwa waarabuNikiwa kama konstebo alfonsi mzafaru [emoji23][emoji23] nauliza hivi huyo jamaa Yuko viti vya orange lakini ameshika kiti cha bluu[emoji23][emoji23] Ina maana alipewa kiti hicho na kibu diii kibu dee
Mbu mbu Mbu mbuSimba ni majitu mapumbavu! Nimeona ile press release yao ni kama mauti hayajielewi utetezi wa kipumbavu! Eti Waarabu ndio walifanya vurugu! Sasa kilichowafanya wang'oe viti ni nini? Hivyo viti vilikuwa vya Waarabu?
Tunafuraha weweeUtopolo bado mna hasira ya Lubumbashi😎
Ubaya ubwela umewekuna na kuwafikia penyewe...tulitaka uwakere na umewakera haswaa...kwa sasa hamtaki kusikia hilo neno...Sio ubaya uboya[emoji23]
Kaa hivyo hivyo kwa kuota..siww ndo ulileta uzi wa Yusuph Kagoma? Huna hata aibu lol...yamekushuka shuu..Lungu la CAF linakuja
Alafu mwarabu mwenyewe anaishi mbagala.Hizi ni baadhi ya picha za waarabu waking'oa viti uwanja wa taifa so sad Kwa kweli
Picha ya kwanza ni mwarabu mweusiView attachment 3177982
Hapana mkuu uzalendo kwanza....nilifurah Simba kushindaKaa hivyo hivyo kwa kuota..siww ndo ulileta uzi wa Yusuph Kagoma? Huna hata aibu lol...yamekushuka shuu..
Bongee moja la assist kutoka kwa kagomaa nadhani ulitamani ujinyonge...hahah
Viti vingi pale ni vibovu hata vilishatoka kwenye screw, hhungo'oi ni unachukua tu kama bakuli au sahaniSisi tusioingia uwanja wa taifa tuelezeni tuelewe ni vipi viti huonekana kuwa silaha ya haraka katika mapambano!? Vimebandikwa tuu! Au wadau wanakuwa na screw driver na spana!?
Anyway, kwa tunavyoambiwa kuhusu fujo za waarabu nadhani kama na mi ningekuwepo ningetumia njia hiyo hiyo kujihami. Viti ni vyetu kwa maana vimepatikana kutokana na kodi zetu na usalama ni wetu. Kodi zitumike kurekebisha.
Kikubwa ni point tatu.
Dah! Hawa Waarabu siyo poa hata kidogo. Yaani wenzao wamejenga, wenyewe wanaboa.Hizi ni baadhi ya picha za waarabu waking'oa viti uwanja wa taifa so sad Kwa kweli
Picha ya kwanza ni mwarabu mweusiView attachment 3177982
HajielewiMbna will Paul alipigwa kwao