Uzi wa picha: Waarabu waking'oa viti Kwa Mkapa

Nikiwa kama konstebo alfonsi mzafaru [emoji23][emoji23] nauliza hivi huyo jamaa Yuko viti vya orange lakini ameshika kiti cha bluu[emoji23][emoji23] Ina maana alipewa kiti hicho na kibu diii kibu dee
Kiti kilirushwa Toka juu ...na kolo mwenzake....huyo alikidaka na kukiongeza mwendo kwenda Kwa waarabu
 
Simba ni majitu mapumbavu! Nimeona ile press release yao ni kama mauti hayajielewi utetezi wa kipumbavu! Eti Waarabu ndio walifanya vurugu! Sasa kilichowafanya wang'oe viti ni nini? Hivyo viti vilikuwa vya Waarabu?
Mbu mbu Mbu mbu
 
Lungu la CAF linakuja
Kaa hivyo hivyo kwa kuota..siww ndo ulileta uzi wa Yusuph Kagoma? Huna hata aibu lol...yamekushuka shuu..
Bongee moja la assist kutoka kwa kagomaa nadhani ulitamani ujinyonge...hahah
 
Kaa hivyo hivyo kwa kuota..siww ndo ulileta uzi wa Yusuph Kagoma? Huna hata aibu lol...yamekushuka shuu..
Bongee moja la assist kutoka kwa kagomaa nadhani ulitamani ujinyonge...hahah
Hapana mkuu uzalendo kwanza....nilifurah Simba kushinda
 
Viti vingi pale ni vibovu hata vilishatoka kwenye screw, hhungo'oi ni unachukua tu kama bakuli au sahani
 
Waambieni waarabu wenu waje kwa adabu siku nyingine tutaweka upupu kwny pochi mixa mayai viza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…