Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Habari mkuu, mimi nimeitwa usaili Dodoma. Ni mgeni kabisa Dodoma.

Usaili unafanyikia Royal Village Hotel.

Naomba nisaidie guest ya bei chee ya kufikia.

Na pia kufahamu Royal Village Hotel ipo mtaa gani?
Lala hapo hapo Royal Hotel Mkuu haiwezekani ukaomba kazi Azam then unakumya Mo Energy
 
Hello guys. Kwa wakazi wa Moshi/Arusha kuna usafiri private kwa watu wanne interested.
Bei ni Tshs elfu 30 tu.
Tutaondoka Ijumaa tarehe 19/05/2023 saa moja asubuhi.
PACKAGE INCLUDES:
1.Usafiri kutoka Moshi bus stand/Arusha bus stand saa moja asubuhi ya tarehe 19 hadi Dodoma mjini.
2. Usafiri kutoka Dodoma mjini hadi UDOM ukumbi wa CIVE au kumbi jirani tarehe 20 saa kumi na mbili asubuhi (ili kuwahi interview).
3. Usafiri kutoka ukumbi wa interview hadi Dodoma mjini tutakapofikia.
✓Other benefits include:
•Kudiscuss kwenye gari kwa pamoja
•Kusimama popote njiani and other benefits of a private travel.
•Uwezekano wa kupata mtu wa kushare room accommodation ( kwa tutakaosafiri pamoja) kupunguza cost.
DM if interested. call,text, WhatsApp 0623 934 970

MALIPO YANAPOKELEWA KWA MKONO ( in person) MWISHO SIKU YA ALHAMISI YA TAREHE 18/05/2023 SAA SITA MCHANA
 
Hiyo hutumiwa na wale malaya waliopanga chini ya msikiti wa Gadaffi. Hawa ni miamba kweli kweli, wamepakana kabisa na msikiti na wanasikia swala zote, ili jioni ikifika wanadanga hapo hapo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Nimeitumia sana hii lodge wakati wa sahili nilizokuwa nafanya, pia wakati wa Induction nilipoitwa kazini nilikaa pale kwa siku 6, sikuwahi kuona dalili za hao watoa huduma kuitumia.

Haiko busy jambo ambalo linaweza kuashiria utoaji wa huduma hiyo, ina utaratibu wake mzuri kabisa, tunasaini kila siku na ifikapo saa 5 mlango wa nje unafungwa na muhudumu ya Guest.

Wale Malaya wa Karibu na Gadafi wana chimbo lao hapo hapo pembeni na hilo chimbo lina walinzi wake kabisa, nilikuwa napita hiyo njia wakati naenda kutafuta msosi nilikuwa nawaona sana
 
Nimeitumia sana hii lodge wakati wa sahili nilizokuwa nafanya, pia wakati wa Induction nilipoitwa kazini nilikaa pale kwa siku 6, sikuwahi kuona dalili za hao watoa huduma kuitumia.

Haiko busy jambo ambalo linaweza kuashiria utoaji wa huduma hiyo, ina utaratibu wake mzuri kabisa, tunasaini kila siku na ifikapo saa 5 mlango wa nje unafungwa na muhudumu ya Guest.

Wale Malaya wa Karibu na Gadafi wana chimbo lao hapo hapo pembeni na hilo chimbo lina walinzi wake kabisa, nilikuwa napita hiyo njia wakati naenda kutafuta msosi nilikuwa nawaona sana
Ipo maeneo gani hiyo ili nikifika Dom nisihangaike kutafuta malazi ya bei nafuu?
 
mnataka kunyaduana kimasihara sio yani mtanganyika na ngono sawa na chanda na pete au kiuno na tako
 
Ndugu zangu mbona kuna nyuzi nikitaka kuzifungua zinanikatalia!? Kwa mfano ule uzi wetu pendwa wa kwanini utumishi wanachelewa ....

Tatizo linaweza kuwa nini?
 
Itakua Kuna error mwenyewe ulinikataa ikabidi nibadili id [emoji723]

Daaa! Kweli kaka, itakuwa ni error maana nimejaribu sana. Hapa nawaza labda nimuombe mtu akaniquote au kuniita kwenye ule uzi, pengine inaweza ikawa solution.
 
Back
Top Bottom