New york City
Senior Member
- Jul 24, 2020
- 175
- 567
Unataka kulala Royal unalipwa per diem?[emoji23]Okay nimechukua huu ushauri wako.
Eti Royal Village Hotel ipo mtaa gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kulala Royal unalipwa per diem?[emoji23]Okay nimechukua huu ushauri wako.
Eti Royal Village Hotel ipo mtaa gani?
Hamna gari ya Kigoma inayopita Dodoma Saa sita usiku.
Kule ndio venue anayoenda kufanyia usahiliUnataka kulala Royal unalipwa per diem?[emoji23]
Karibu geto kijana kama unakuja usaili. You will get everything for free bila stressDuh hakuna ya 10k mkuu?
Je, makole ni jirani na royal village hotel?
Asante sana mkuu for concern.
Lala hapo hapo Royal Hotel Mkuu haiwezekani ukaomba kazi Azam then unakumya Mo EnergyHabari mkuu, mimi nimeitwa usaili Dodoma. Ni mgeni kabisa Dodoma.
Usaili unafanyikia Royal Village Hotel.
Naomba nisaidie guest ya bei chee ya kufikia.
Na pia kufahamu Royal Village Hotel ipo mtaa gani?
Hiyo hutumiwa na wale malaya waliopanga chini ya msikiti wa Gadaffi. Hawa ni miamba kweli kweli, wamepakana kabisa na msikiti na wanasikia swala zote, ili jioni ikifika wanadanga hapo hapo.Ipo ya 12K(self) karibu na Msikiti wa Gadafi/Chako ni Chako
Inaitwa Seja Guest
Nimeitumia sana hii lodge wakati wa sahili nilizokuwa nafanya, pia wakati wa Induction nilipoitwa kazini nilikaa pale kwa siku 6, sikuwahi kuona dalili za hao watoa huduma kuitumia.Hiyo hutumiwa na wale malaya waliopanga chini ya msikiti wa Gadaffi. Hawa ni miamba kweli kweli, wamepakana kabisa na msikiti na wanasikia swala zote, ili jioni ikifika wanadanga hapo hapo.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Ipo maeneo gani hiyo ili nikifika Dom nisihangaike kutafuta malazi ya bei nafuu?Nimeitumia sana hii lodge wakati wa sahili nilizokuwa nafanya, pia wakati wa Induction nilipoitwa kazini nilikaa pale kwa siku 6, sikuwahi kuona dalili za hao watoa huduma kuitumia.
Haiko busy jambo ambalo linaweza kuashiria utoaji wa huduma hiyo, ina utaratibu wake mzuri kabisa, tunasaini kila siku na ifikapo saa 5 mlango wa nje unafungwa na muhudumu ya Guest.
Wale Malaya wa Karibu na Gadafi wana chimbo lao hapo hapo pembeni na hilo chimbo lina walinzi wake kabisa, nilikuwa napita hiyo njia wakati naenda kutafuta msosi nilikuwa nawaona sana
Piga 0685 360 720 ili uwasiliane na mhudumuIpo maeneo gani hiyo ili nikifika Dom nisihangaike kutafuta malazi ya bei nafuu?
Ahsante sana.Piga 0685 360 720 ili uwasiliane na mhudumu
Waliyakuta yamo
Mmh hapo kukesha mzee baba hapana tusome tu kiistaarab nina mika mitano cjaingia darasan alafu nije nisome siku mbili nikeshe vikae kichwanWaliyakuta yamo au walikesha bure?[emoji3][emoji3]
Labda ni tatizo la mtandao,jaribu mara kadhaa.Ndugu zangu mbona kuna nyuzi nikitaka kuzifungua zinanikatalia!? Kwa mfano ule uzi wetu pendwa wa kwanini utumishi wanachelewa ....
Tatizo linaweza kuwa nini?
Itakua Kuna error mwenyewe ulinikataa ikabidi nibadili id [emoji723]Sawa Kamanda nimekuwa nikijaribu mara kwa mara bila ya mafanikio. Asante sana ushauri wako nitaendelea kuufanyia kazi.