Uzi wa vichwa vikali vya habari miaka 100 ijayo

Uzi wa vichwa vikali vya habari miaka 100 ijayo

UDOM SURPASSES HARVARD UNIVERSITY IN UNIVERSITY RANKING.IT IS NOW THE BEST UNIVERSITY IN THE WORLD[emoji41][emoji41][emoji41].

12-7-2107

Today in the new university ranking the university of Dodoma has been the best university in the world.The so-called "Chuo Cha kata" as it was called one hundred years ago back in 2007 during it's establishment, has succeeded to surpass Harvad university and become the best worldwide.

Grammar tuvumiliane tu.
 
. Hutaweza kuinunua, pato wastani la taifa litakuwa sh 3500 kwa mwaka! Kwa agizo la kufyatua watoto, kazi kubwa ilio fanyika kwa kipindi chote ilikuwa ngono, uzalishaji ulishuka sana na idadi ya watu ilipanda sana.
Hahahahaaaa...............haya bhana....ngoja tusubiri hyo V8 ishuke bei basi tuje tujinyakulie
 
WATUMIAJI WA USAFIRI WA UNGO,WALALAMIKIA UPATIKANAJI WA HUDUMA HIYO KWA WAKATI
Hii ni baada ya booking kuwa kubwa,kwan matumiz ya usafir huu yamekua ni safi na salama ukilinganisha na usafir mwngne kama ndege na treni
 
RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA CHINA, YUKO MAPUMZIKONI JIJINI CHATO[emoji41][emoji41][emoji41]
 
WANAWAKE NCHINI TANZANIA WAANZA KULIPA MAHALI KWA WANAUME[emoji41][emoji41]
 
Maiti ya dikteta yafukuliwa ili kupima DNA kuthibitisha alikuwa ni raia wa nchi jirani wanakoendekeza mauji.
 
Mkuu hii picha nzuri sana
62305200_121449669076731_506470712572116992_n.jpg
 
Tanzania yarusha rocket na wanasayansi wake 9 kuenda kuangalia uwezekano wa kuishi sayari ya jupiter, ni wanasayansi pekee ambao dunia inawahitaji kwa sasa
 
Back
Top Bottom