Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania yawa nchi ya kwanza kufanikiwa kupeleka mwanasayansi JUANI na kurudi duniani salama.
Hahaaaa! Eti waolewe buree,yaani bila hata senti Tano...hapo kwenye pesa jamani msiwatanie..
. Hutaweza kuinunua, pato wastani la taifa litakuwa sh 3500 kwa mwaka! Kwa agizo la kufyatua watoto, kazi kubwa ilio fanyika kwa kipindi chote ilikuwa ngono, uzalishaji ulishuka sana na idadi ya watu ilipanda sana.
Hahahahaaaa...............haya bhana....ngoja tusubiri hyo V8 ishuke bei basi tuje tujinyakulie
Mfalme wa Tanzania kufanya ziara Uingereza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣4) Club ya Simba yatwaa ubingwa wa ligi kuu kwa mara ya 60 mfululizo. Yanga yashindwa kupanda daraja kwenda ligi daraja la tatu.