Hivyo vinakung'utwa kishwa vinarudishwa, maisha yanaendelea. Hakitupwi kitu hapo.Dah...si afadhali angemwagika mbebaji
Duh! Asubuhi asubuhi hii, huu mchemsho wa vitu va ndani umenifanya mdomo ujae mate bila kutegemea
Halwa yake Kahawa, hapo sawa.Hii wanaiita "HALUWA", ni tamu sana! huliwa na kahawa.
Mimi naipende chapati, iwe na kiambatanisho hikiUzuri wa Chapati kotekote inaenda haina Ubaguzi, iwe kwa Maharage, Kunde, Njegere nk.
Kwa upande wangu napendekeza rosti ya Maini
Karanga, swaumu, tangawizi na maziwaKama ni kweli unatafuna hayo madude live huenda wewe ukawa ndiye mtu pekee duniani anaekula vyakula sahihi na bora sana.
Kitu ambacho ni chakula sahihi na bora sana ni kile ambacho siyo tu kwamba ni chakula lakini pia ni dawa kama yalivyo hayo madude.Haya madude ni chakula na hapohapo ni dawa pia.
Hii inaitwa "ujenzi nje ya beacon". Wanaume tupige zoezi, mamiili mengine hayafai.Unataka kama hiki?[emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 1912105
Kama hiyo PIZZA umepika mwenyewe, kwa kweli umejitahidi sana
Safi sanaMimi naipende chapati, iwe na kiambatanisho hikiView attachment 1923068
Eeh si kama hiyo mbupu mkuu anakula why isiliwe😆 ila sijawahi ona naniliu ya mnyama mimiRafiki hivi nanilihu nayo huwa inaliwa?🤔🤔🤔
Ukisikia makusudi ndio haya 😬😬😬Leo si nusu siku, hamjatoka bado mje tule?
View attachment 1922401
Hata unadhani ??? We ndo utafurahi mwenyewe kwa maandalizi 🙂Kwa Ulaji wako, itokee mimi kuwa Mgeni wako wiki moja tu utanichoka, kwasababu nitakutibulieni bajeti yenu.
View attachment 1923087
chocolate naikubali sana, stress kidogo na maliza na chocolateMUNGU hamtupi mja wakeView attachment 1923102
Mkuu hii ni chips yai au???tunaomba location