Uzi wa vyakula tu

Huo muda na umakin wa kuzingatia hayo yote sina..ni bora kuiacha tu...yaan nifikirie tozo..biashara..uchumi..mapenz..na kwenye kula napo niwe na mahesab makal..si ntazeeka kwa mawazo chifu..bora kuiacha...aisee ilibak kidogo nipate bawasil..dokta akanambia achana na dona kabisa shekhe
 
Hakuna chakula utakachokula bila kuzingatia umakini halafu ubakie salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…