binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Recently nimeona nimeyachoka mapishi yote ya nyama, nimeamua kunywa supu tu, au nyama fulani hivi naikaangia vitunguu vingi naepua vitunguu vikiwa bado vibichi na siweki chochote, hii yako imenivutia. Hebu nipe recipe au ni hizi hizi za kawaida? kitunguu, garlic, nyanya, nyanya paste basi??Wali haujaiva bado View attachment 1977692