Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Recently nimeona nimeyachoka mapishi yote ya nyama, nimeamua kunywa supu tu, au nyama fulani hivi naikaangia vitunguu vingi naepua vitunguu vikiwa bado vibichi na siweki chochote, hii yako imenivutia. Hebu nipe recipe au ni hizi hizi za kawaida? kitunguu, garlic, nyanya, nyanya paste basi??
 
Late dinner kwa mama nanihii
FB_IMG_1634302555984.jpg
 
Back
Top Bottom