Uzi wa vyakula tu

Recently nimeona nimeyachoka mapishi yote ya nyama, nimeamua kunywa supu tu, au nyama fulani hivi naikaangia vitunguu vingi naepua vitunguu vikiwa bado vibichi na siweki chochote, hii yako imenivutia. Hebu nipe recipe au ni hizi hizi za kawaida? kitunguu, garlic, nyanya, nyanya paste basi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…