Uzi wa vyakula tu

Nimelia sana ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Wakinga na kupika wapi na wapi??
Umeamua kuniaibisha shemeji ๐Ÿคฃ
Lukolo, mapembelo, sisi ni ndosa imetiwa kwenye majivu ikitolewa hapo unamix na bumunda na maji au chai ya maziwa imeisha
 
Lukolo, mapembelo, sisi ni ndosa imetiwa kwenye majivu ikitolewa hapo unamix na bumunda na maji au chai ya maziwa imeisha
Mapembelo vavene kaka ndeti?

Umesahau na ka ulanzi ndio breakfast yetu ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Umefanya nitamani kupika bumunda leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ