Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

.
IMG_20201209_163326.jpg
 
Katumwa huyo maana hiyo vurugu hapo si ndogo
Aysee acha tu, alikuwa kitchen baada ya kututengea msosi na dogo, kila siku tunakula pamoja ila jana katenganisha. Mm nikajisemea "Kinga ni bora kuliko tiba" (huku nikimwambia dogo achukue chakula changu na mm nile chake) kumbe alinisikia, baada ya ku exchange alikuja mbio kwa hasira akafanya hao aliyoyafanya.
 
Aysee acha tu, alikuwa kitchen baada ya kututengea msosi na dogo, kila siku tunakula pamoja ila jana katenganisha. Mm nikajisemea "Kinga ni bora kuliko tiba" (huku nikimwambia dogo achukue chakula changu na mm nile chake) kumbe alinisikia, baada ya ku exchange alikuja mbio kwa hasira akafanya hao aliyoyafanya.
Ohoooo mkuu huyo ni one way ticket kwao hamna namna shtuka
 
Aysee acha tu, alikuwa kitchen baada ya kututengea msosi na dogo, kila siku tunakula pamoja ila jana katenganisha. Mm nikajisemea "Kinga ni bora kuliko tiba" (huku nikimwambia dogo achukue chakula changu na mm nile chake) kumbe alinisikia, baada ya ku exchange alikuja mbio kwa hasira akafanya hao aliyoyafanya.

Ulihisi nini mpaka ukaongea hivyo na ku exchange chakula??
 
Ulihisi nini mpaka ukaongea hivyo na ku exchange chakula??
nahisi jamaa machale yalimcheza mwili ukasisimka
mm hapo namrudisha kwao asipokula chakula alichonitengea /tegea
na kuanzia siku hiyo ntapika mwenyewe yeye akiwa kwao /pembeni km ana kazi za kujiajiri
 
Back
Top Bottom