Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakuwa Mpalestina huyo, sasa alitaka nini tena huko abaki peke yake na mali achukue?Nahisi anaitafuta Namanga sasa hivi
weka basi vyakula vilivyopikwa tujue hutaki mchezo kwenye mapishiSitaki mchezo kwenye hii sekta!!
Itakuwa alikuwekea limbwata huyo.Ni story ndefu ila inshort kuna mambo yalitokea Tz ambayo maamuzi sahihi ni kumpa talaka ila busara zaidi ilitumika nikamrudisha Nairobi ila nikaambiwa niwe makini nae sana hasa kwenye maswala ya chakula tena niliambiwa hata chakula chake nisile. Nilifanya hvyo kwa siku 2 za mwanzo, siku zilizofata nikawa nakula home ila anatutengea msosi pamoja na mdgo wangu coz mtu tunaorudi home yy anakuwa kashakula, sasa baada ya week moja ivi kupita akabadilisha utaratibu (ambayo ni Jana) akatutengea chakula kila mtu sahani yake, tena jana alichangamka sana nikaona tu kuna namna fulan ndio akili ya Ku exchange sahani ikanijia
Kwani hivyo vimeteremsha chief!?weka basi vyakula vilivyopikwa tujue hutaki mchezo kwenye mapishi
Ujinga mtupu mtu unaweka limbwata ili iweje huo ni uchawi.Itakuwa alikuwekea limbwata huyo.
Wanawake siku hizi wana magroup yao,huko wanajazana ujinga wote.
Kuna group niliwahi kujiunga miaka ya nyuma (2015),ilikuwa kwa ajili ya urembo na ususi..kujifunza kazi za saluni.Mara likabadilishwa yakaanza kutumwa madude hayo jamani..yaani niliyoyaona humo[emoji134].
Wanaume muwe mnasali,kuna wanawake wanatengeneza wanaume jamani.
Sasa hilo group wamama waliyokuwa wanajadili yaani utachoka..yaani ule ni zaidi ya uchawi,hapo wanaroga hadi michepuko,..tena wanatoa hadi mirejesho.Ujinga mtupu mtu unaweka limbwata ili iweje huo ni uchawi.
Hapana sisi kabila letu hayo matunda pori sio chakula, nimeiona Post #1 ikitaka vyakula sikujua kumbe mnaweza alikwa mahali kwa dinner mkalishwa hivyo na mpishi mkuu?Kwani hivyo vimeteremsha chief!?
Nimepika mwenyewe kwa mkono wangu, kwa ushahidi kabisa nenda page za mwanzoni mwanzoni huko mwa uzi
matunda kwenye miti ungeyaacha NI USHAURI TUTupiamo chako, iwe ulialikwa kwenye sherehe, umepiga nacho selfie (hata kama hujala) umedoea! Umenunua, hata kama ni cha mchepuko ama nyumba ndogo cha hotelini msibani... Popote pale wee tupia tuu kiwe kibaya au kizuri leta tu hapa, tuwatamanishe watoke miudenda wale kulakula
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana kwa mapishi Mkuu, mm ni hayo yaliyoko shambani yanajaza kwenye kasimu kangu ka Tecno, weka mahanjumati NI KWA USHAURI TUKwani hivyo vimeteremsha chief!?
Nimepika mwenyewe kwa mkono wangu, kwa ushahidi kabisa nenda page za mwanzoni mwanzoni huko mwa uzi
Ndugu, hayo sasa unatupangia wewe, humu watu wanapost hadi picha ambazo wamedownload. Wala sio tatizo.Hapana sisi kabila letu hayo matunda pori sio chakula, nimeiona Post #1 ikitaka vyakula sikujua kumbe mnaweza alikwa mahali kwa dinner mkalishwa hivyo na mpishi mkuu?
matunda kwenye miti ungeyaacha NI USHAURI TU