Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

View attachment 1648859View attachment 1648861View attachment 1648863
e72de746779e0e7c3f6827e454b53601.jpg
View attachment 1648860View attachment 1648862
 
Ni story ndefu ila inshort kuna mambo yalitokea Tz ambayo maamuzi sahihi ni kumpa talaka ila busara zaidi ilitumika nikamrudisha Nairobi ila nikaambiwa niwe makini nae sana hasa kwenye maswala ya chakula tena niliambiwa hata chakula chake nisile. Nilifanya hvyo kwa siku 2 za mwanzo, siku zilizofata nikawa nakula home ila anatutengea msosi pamoja na mdgo wangu coz mtu tunaorudi home yy anakuwa kashakula, sasa baada ya week moja ivi kupita akabadilisha utaratibu (ambayo ni Jana) akatutengea chakula kila mtu sahani yake, tena jana alichangamka sana nikaona tu kuna namna fulan ndio akili ya Ku exchange sahani ikanijia
Itakuwa alikuwekea limbwata huyo.
Wanawake siku hizi wana magroup yao,huko wanajazana ujinga wote.

Kuna group niliwahi kujiunga miaka ya nyuma (2015),ilikuwa kwa ajili ya urembo na ususi..kujifunza kazi za saluni.Mara likabadilishwa yakaanza kutumwa madude hayo jamani..yaani niliyoyaona humo[emoji134].
Wanaume muwe mnasali,kuna wanawake wanatengeneza wanaume jamani.


Hebu jaribu kuangalia simu yake, lazima ana hayo magroup
 
weka basi vyakula vilivyopikwa tujue hutaki mchezo kwenye mapishi
Kwani hivyo vimeteremsha chief!?
Nimepika mwenyewe kwa mkono wangu, kwa ushahidi kabisa nenda page za mwanzoni mwanzoni huko mwa uzi
 
Itakuwa alikuwekea limbwata huyo.
Wanawake siku hizi wana magroup yao,huko wanajazana ujinga wote.

Kuna group niliwahi kujiunga miaka ya nyuma (2015),ilikuwa kwa ajili ya urembo na ususi..kujifunza kazi za saluni.Mara likabadilishwa yakaanza kutumwa madude hayo jamani..yaani niliyoyaona humo[emoji134].
Wanaume muwe mnasali,kuna wanawake wanatengeneza wanaume jamani.
Ujinga mtupu mtu unaweka limbwata ili iweje huo ni uchawi.
 
Ujinga mtupu mtu unaweka limbwata ili iweje huo ni uchawi.
Sasa hilo group wamama waliyokuwa wanajadili yaani utachoka..yaani ule ni zaidi ya uchawi,hapo wanaroga hadi michepuko,..tena wanatoa hadi mirejesho.
Wanajadili namna ya kutengeneza hayo malimbwata.
Nikaona nimekosea njia[emoji38], ukiwaambia hayo mambo si mazuri wanasema subiri ukue uolewe halafu utaona[emoji23][emoji23].

Yaani lazima alimuwekea limbwata.
Asingekimbilia kupasua sahani bure.
 
Kwani hivyo vimeteremsha chief!?
Nimepika mwenyewe kwa mkono wangu, kwa ushahidi kabisa nenda page za mwanzoni mwanzoni huko mwa uzi
Hapana sisi kabila letu hayo matunda pori sio chakula, nimeiona Post #1 ikitaka vyakula sikujua kumbe mnaweza alikwa mahali kwa dinner mkalishwa hivyo na mpishi mkuu?
Tupiamo chako, iwe ulialikwa kwenye sherehe, umepiga nacho selfie (hata kama hujala) umedoea! Umenunua, hata kama ni cha mchepuko ama nyumba ndogo cha hotelini msibani... Popote pale wee tupia tuu kiwe kibaya au kizuri leta tu hapa, tuwatamanishe watoke miudenda wale kulakula

Sent using Jamii Forums mobile app
matunda kwenye miti ungeyaacha NI USHAURI TU
 
Kwani hivyo vimeteremsha chief!?
Nimepika mwenyewe kwa mkono wangu, kwa ushahidi kabisa nenda page za mwanzoni mwanzoni huko mwa uzi
Hongera sana kwa mapishi Mkuu, mm ni hayo yaliyoko shambani yanajaza kwenye kasimu kangu ka Tecno, weka mahanjumati NI KWA USHAURI TU
 
Hapana sisi kabila letu hayo matunda pori sio chakula, nimeiona Post #1 ikitaka vyakula sikujua kumbe mnaweza alikwa mahali kwa dinner mkalishwa hivyo na mpishi mkuu?

matunda kwenye miti ungeyaacha NI USHAURI TU
Ndugu, hayo sasa unatupangia wewe, humu watu wanapost hadi picha ambazo wamedownload. Wala sio tatizo.
 
Back
Top Bottom