Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Wanawake wako na shida mingi sana, nime exchange sahani na dogo kaja kumwaga msosi wote na Kupasua sahaniView attachment 1648322
Aiseee[emoji134]Aysee acha tu, alikuwa kitchen baada ya kututengea msosi na dogo, kila siku tunakula pamoja ila jana katenganisha. Mm nikajisemea "Kinga ni bora kuliko tiba" (huku nikimwambia dogo achukue chakula changu na mm nile chake) kumbe alinisikia, baada ya ku exchange alikuja mbio kwa hasira akafanya hao aliyoyafanya.
Dunia ina mengi.Poleni mkuu.