Uzi wa vyakula tu

Hongera sana kwa mapishi Mkuu, mm ni hayo yaliyoko shambani yanajaza kwenye kasimu kangu ka Tecno, weka mahanjumati NI KWA USHAURI TU
Chief, yatajaa vipi kwenye simu yako bila ya kusave mwenyewe? Si lazima usave unaweza ukayapita kimya kimya tu!!
 
Ndugu, hayo sasa unatupangia wewe, humu watu wanapost hadi picha ambazo wamedownload. Wala sio tatizo.
punguzeni basi maana sio lengo la mleta Mada, kwanini msianzishe Mada ya matunda ya porini?
mbona chakula hatujawapangiia, Member ukiingia anzia post # 1 inasemaje?
 
Kwani hivyo vimeteremsha chief!?
Nimepika mwenyewe kwa mkono wangu, kwa ushahidi kabisa nenda page za mwanzoni mwanzoni huko mwa uzi
Hongera sana kwa mapishi Mkuu, mm ni hayo yaliyoko shambani yanajaza kwenye kasimu kangu ka Tecno, weka mahanjumati NI KWA USHAURI TU
 
punguzeni basi maana sio lengo la mleta Mada, kwanini msianzishe Mada ya matunda ya porini?
mbona chakula hatujawapangiia, Member ukiingia anzia post # 1 inasemaje?
Unaonekana umekuja na yako! Pole sana!
 
Ndugu, hayo sasa unatupangia wewe, humu watu wanapost hadi picha ambazo wamedownload. Wala sio tatizo.
punguzeni basi maana sio lengo la mleta Mada, kwanini msianzishe Mada ya matunda ya porini?
mbona chakula hatujawapangiia, Member ukiingia anzia post # 1 inasemaje?
 
punguzeni basi maana sio lengo la mleta Mada, kwanini msianzishe Mada ya matunda ya porini?
mbona chakula hatujawapangiia, Member ukiingia anzia post # 1 inasemaje?
Pole sana! Unajua kwanini nasema pole sana? Basi pole sana!
 
Duh kwahiyo kila alieolewa lazima awe na limbwata[emoji3]

Akili nyingine ni za ajabu sana.
 
punguzeni basi maana sio lengo la mleta Mada, kwanini msianzishe Mada ya matunda ya porini?
mbona chakula hatujawapangiia, Member ukiingia anzia post # 1 inasemaje?
Pole sana!!
 
punguzeni basi maana sio lengo la mleta Mada, kwanini msianzishe Mada ya matunda ya porini?
mbona chakula hatujawapangiia, Member ukiingia anzia post # 1 inasemaje?
Ukiangalia hivyo pia sidhani kwa mujibu wa kabila lako mnatumia supu ya mende, mishkaki ya nyoka, pweza na vyote hivyo vimepostiwa ni nini maoni yako kwa wale ambao hawatumii?
 
Pole sana!!
Asante sana kwa pole yako nimeipokea
mm nampa pole aliyewekea vitu kwenye sahani yake ya chakula ugali kwa samaki na ikavunjwa, sasa wakati anaelezea alivyoshiba ninaletewa matunda pori, ndio maana nikaomba yasubiri kwanza tupate majibu ya chakula chenye limbwata au km vipo vingine, sasa napewa pole na matunda pori
nasema ASANTE lkn ninyi wapishi sio wazuri mnatuchanganyia mada
rudi kwenye lengo la mleta Mada au wachangiaji wenzako, ww unachomeka vitu vingine kabisa
 

[emoji115][emoji115][emoji115]Post ya kwanza kabisa ya mtoa mada amepost hii, ni nini maoni yako kwa wasiotumia.
 

[emoji115][emoji115][emoji115] Post #4 ni nini maoni yako?
Chief tatizo unacomplicate sana! Take it easy! Kwa ambalo unaona kwako haliko sawa pita kimya kimya! Hata mimi kuna vitu huwa naviona sio sawa kwa upande wangu lakini sicomplicate wala nini natupia na like na move on.
 
Mate yamechuruzika.ngoja nikapike aise
Tangu nibadili username naonekana mgeni kwenye huu uzi aisee!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Tangu nibadili username naonekana mgeni kwenye huu uzi aisee!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Sasa Kwanini umebadili na wewe..nilipoona hizo fegi hapo nikajikuta nimeshakupata tayari😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…