Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

IMG_20200315_121827_8.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani ni hatari hii obsession na chips ni mbaya
Kuna muda nilikuwa naweza kuacha kula nikawa na nakula matunda nmeamini kila jambo na wakati wake [emoji23][emoji23]
Mm nikiweza kuja kuacha nikawa nakula matunda tu ntafurahi sana maana siwez napenda chips adi sio vizuri apo nmekula mchana saiv mate yamejaa mdomoni natamani nile tena chips [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nikiweza kuja kuacha nikawa nakula matunda tu ntafurahi sana maana siwez napenda chips adi sio vizuri apo nmekula mchana saiv mate yamejaa mdomoni natamani nile tena chips [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Mimi sipendi kujipikia mwnyw ndo tatizo hapo ila ningeweza kuacha
 
Back
Top Bottom