Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Aya
20201120_161117.jpeg
 
Haya matunda yanaonekana mabaya haya sujui ladha yake itakuwaje.
Natokea dodoma ila sijawahi kuyaona tangu nizaliwe

Matamu sana sana sana, umeona bei yake nilivoweka hapo juu! doriani moja ni elfu tano mpk kumi na kwa watalii mpaka elfu 15 , ingekuwa mabaya yasingeuzwa bei hiyo watu wangeyaacha tu mpk yakaharibika
 
Utajua tu watu walaji wa kuku, ila mini kidari nakifurahia sana vimfupa na pia huwa ni kubwa, kidari kilichochomwa au kukaangwa ni kwikwi

[emoji23], kwetu vidari tunawaachia watoto, zile sehemu za kuku zenye mifupamifupa huwaga na taste nzuri sana na pia zinakolea viungo unapo marinate
 
Nahitaj pesa kiasi gani ili nikifika zenji maeneo mazuri mazuri sehemu za kulala nzuri, nipate hata boti nizunguke ziwani, nile vyakula vitamuuu yani nile nijigalagaze, niinjoi, nipumzishe akili, nifurahi vilivyo nikitoka hapo memories zibaki kichwani kwa siku 14 kwa hesabu ya watu wawili, hebu nishawishi utalii wa ndani

Tayarisha kama 1M chenji inaweza ikabaki
 
Back
Top Bottom