Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Mshana Jr karibu pwezaa
IMG-20181226-WA0004.jpg
 
Tips: 1; Akandie butter au margarine yoyote, dough liwe laini lakini lisilonata mikononi wala sehemu ya kusukumia (tunasema dough limeiva)

2; Asikate chapati ndogo ndogo/ nyembamba, Chapati zake ziwe zina kauzito fulani, sio kama zile za kwa mama niwekee.

3; achomee butter au hata mafuta ya kawaida, ila pan inaweza mbadilishia matokeo, atafute pan moja nzito na non stick.

Vikorombwezo vingine kama kukandia maziwa au nazi havibadili muonekano bali zinaongeza ladha. Btw, Hizo chappo kwenye picha mwenye nazo hongera zake, mimi zangu ni nzuri lakini sio kama hizo za kwenye picha nadhani nimeshaweka picha humu za chappo moja au mbili.
Hapo kwenye size sasa, mi huwa kg 1 natoa chapati 13,niko sawa kweli?

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom