Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za CCM jijini Mwanza - Kuelekea Septemba 7, 2020

Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za CCM jijini Mwanza - Kuelekea Septemba 7, 2020

Mbona watoto wengi sana hapo
Ni kama wale watoto wa miaka kumi na chini ya hapo ambao walilia sana siku Nyerere alipofariki! Japokuwa walikuwa hawapo wakati wa uongozi wake! Sababu yenyewe ni kwamba watanzania wote walikuwa na mapenzi naye. Hivyo hivyo sasa watoto na watanzania wote wanampenda Magufuli kwa kazi alizozifanya kuongoza taifa. Watoto wanaona na wanasikia, hawatabaki nyuma. Hao hao watoto ukiwauliza Lissu hawamjui!
 
Hapo Magufuli hasikilizwi kabisa. Yaani ni mwendo wa kuangalia wasanii na kushangaa Drone za tbc. [emoji23][emoji23][emoji23] Watani zangu wasukuma sikilizeni hata sera basi achaneni na drone camera.
JamiiForums1468332605.jpg
View attachment 1560960
JamiiForums-2121037897.jpg
 
Back
Top Bottom