Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za CCM jijini Mwanza - Kuelekea Septemba 7, 2020

Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za CCM jijini Mwanza - Kuelekea Septemba 7, 2020

Mtoto wa nyumbani kwa kisukuma ndio mnasemaje?
IMG-20200906-WA0042.jpg
 
Cdm mwanza hamna Chenu aiseee. Mwanza ccm inapendwa sana aisee, kesho sijui itakuaje hapo furahisha.
 
Cdm mwanza hamna Chenu aiseee. Mwanza ccm inapendwa sana aisee, kesho sijui itakuaje hapo furahisha.
Maneno yako ni propaganda tu. Kama Chadema hawana chao mwanza wasingepata support ile. Kajipangeni upya na propaganda zenu
 
Kwani kuna lipi kubwa magufuli kafanya mwanza kumshinda Lissu kwenye kampeni zake????
Magufuli bila fiesta hakuna lolote lile. Watu wanaenda kusikiliza fiesta tu.

Kampeni pekee ni za Tundu Lissu tu, mtu hana wasanii, Hana coverage kubwa ya vyombo vya habari, Hana tume wala polisi na hata fedha zenyewe anachangisha, habebi watu kwenye maroli wala kuongea kilugha kuhamasisha kampeni za kikabila. Ila anakusanya nyomi la kipekee linaloenda kumsikiliza kwa mapenzi ya kweli tu.

Huyo magufuli wenu hana lolote!! Lissu atosha!
Kwani anaposimama njiani kuzungumza na wananchi na wasanii huwa wanaimba
 
Kwani kuna lipi kubwa magufuli kafanya mwanza kumshinda Lissu kwenye kampeni zake????
Magufuli bila fiesta hakuna lolote lile. Watu wanaenda kusikiliza fiesta tu.

Kampeni pekee ni za Tundu Lissu tu, mtu hana wasanii, Hana coverage kubwa ya vyombo vya habari, Hana tume wala polisi na hata fedha zenyewe anachangisha, habebi watu kwenye maroli wala kuongea kilugha kuhamasisha kampeni za kikabila. Ila anakusanya nyomi la kipekee linaloenda kumsikiliza kwa mapenzi ya kweli tu.

Huyo magufuli wenu hana lolote!! Lissu atosha!
MALALAMIKO FC teh teh teh!
 
Maneno yako ni propaganda tu. Kama Chadema hawana chao mwanza wasingepata support ile. Kajipangeni upya na propaganda zenu
Kama umefuatilia leo Magufuli akiwa kisesa, igomba, national, buzuruga na mabatini nadhani jibu utakua umepata.
Tuongee ukweli. Watu walikusanyika wengi sana mkuu. Sijui hata hiyo kesho itakuaje huko furahisha.
 
Kama umefuatilia leo Magufuli akiwa kisesa, igomba, national, buzuruga na mabatini nadhani jibu utakua umepata.
Tuongee ukweli. Watu walikusanyika wengi sana mkuu. Sijui hata hiyo kesho itakuaje huko furahisha.
Mkutano utafanyikia CCM kirumba sio furahisha tena
 
Ila mzee kwa anayopitia saivi hata akipita hatatamani kuongeza hata nukta ya miaka mingine. Hotuba zake zimekaa kinyampalaa anhekuwa na balora laribu angekuwa anacharaza watu fimbo 😁😂😀
Ole wako Ndugai na Nkamia wakusikie. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kama umefuatilia leo Magufuli akiwa kisesa, igomba, national, buzuruga na mabatini nadhani jibu utakua umepata.
Tuongee ukweli. Watu walikusanyika wengi sana mkuu. Sijui hata hiyo kesho itakuaje huko furahisha.
Siyo Furahisha ni ccm kirumba
 
Back
Top Bottom