911sep11
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,461
- 4,272
Mtoto wa nyumbani kwa kisukuma ndio mnasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto wa nyumbani kwa kisukuma ndio mnasemaje?
Nikupoteza muda tu kwenda kwenye mikutano ya kampeni ya Ccm! Kifupi Jiwe hafai kuwa Rais wetu
Mtoto wa nyumbani kwa kisukuma ndio mnasemaje?
Naomba unipe tofauti ya yule anayetoa ubwabwa
Na yule anayetumia wasanii??? Jibu tafadhali
Ova
Maneno yako ni propaganda tu. Kama Chadema hawana chao mwanza wasingepata support ile. Kajipangeni upya na propaganda zenuCdm mwanza hamna Chenu aiseee. Mwanza ccm inapendwa sana aisee, kesho sijui itakuaje hapo furahisha.
Zaidi wewe hufai kuitwa binadamuNikupoteza muda tu kwenda kwenye mikutano ya kampeni ya Ccm! Kifupi Jiwe hafai kuwa Rais wetu
Hapo kuna malalamiko mkuu?Endelea kulalamika! Malalamiko FC!
pole sana...huijui mwanza kabisaaaa... kisiasaCdm mwanza hamna Chenu aiseee. Mwanza ccm inapendwa sana aisee, kesho sijui itakuaje hapo furahisha.
Kwani anaposimama njiani kuzungumza na wananchi na wasanii huwa wanaimbaKwani kuna lipi kubwa magufuli kafanya mwanza kumshinda Lissu kwenye kampeni zake????
Magufuli bila fiesta hakuna lolote lile. Watu wanaenda kusikiliza fiesta tu.
Kampeni pekee ni za Tundu Lissu tu, mtu hana wasanii, Hana coverage kubwa ya vyombo vya habari, Hana tume wala polisi na hata fedha zenyewe anachangisha, habebi watu kwenye maroli wala kuongea kilugha kuhamasisha kampeni za kikabila. Ila anakusanya nyomi la kipekee linaloenda kumsikiliza kwa mapenzi ya kweli tu.
Huyo magufuli wenu hana lolote!! Lissu atosha!
MALALAMIKO FC teh teh teh!Kwani kuna lipi kubwa magufuli kafanya mwanza kumshinda Lissu kwenye kampeni zake????
Magufuli bila fiesta hakuna lolote lile. Watu wanaenda kusikiliza fiesta tu.
Kampeni pekee ni za Tundu Lissu tu, mtu hana wasanii, Hana coverage kubwa ya vyombo vya habari, Hana tume wala polisi na hata fedha zenyewe anachangisha, habebi watu kwenye maroli wala kuongea kilugha kuhamasisha kampeni za kikabila. Ila anakusanya nyomi la kipekee linaloenda kumsikiliza kwa mapenzi ya kweli tu.
Huyo magufuli wenu hana lolote!! Lissu atosha!
Kama umefuatilia leo Magufuli akiwa kisesa, igomba, national, buzuruga na mabatini nadhani jibu utakua umepata.Maneno yako ni propaganda tu. Kama Chadema hawana chao mwanza wasingepata support ile. Kajipangeni upya na propaganda zenu
Watanzania kwa kujifariji hamjamboDiamond amefuatwa hapo hakuna lingine
Mkutano utafanyikia CCM kirumba sio furahisha tenaKama umefuatilia leo Magufuli akiwa kisesa, igomba, national, buzuruga na mabatini nadhani jibu utakua umepata.
Tuongee ukweli. Watu walikusanyika wengi sana mkuu. Sijui hata hiyo kesho itakuaje huko furahisha.
Mmeishiwa sababu sasa
Mara wanafuata wasanii
Upuuzi mtupu
Ole wako Ndugai na Nkamia wakusikie. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Ila mzee kwa anayopitia saivi hata akipita hatatamani kuongeza hata nukta ya miaka mingine. Hotuba zake zimekaa kinyampalaa anhekuwa na balora laribu angekuwa anacharaza watu fimbo 😁😂😀
Comrade vipi Mama Maria Nyerere anaendeleaje?Mmeishiwa sababu sasa
Mara wanafuata wasanii
Upuuzi mtupu
Siyo Furahisha ni ccm kirumbaKama umefuatilia leo Magufuli akiwa kisesa, igomba, national, buzuruga na mabatini nadhani jibu utakua umepata.
Tuongee ukweli. Watu walikusanyika wengi sana mkuu. Sijui hata hiyo kesho itakuaje huko furahisha.
yes, misumari ya Tundu Lissu inachoma hadi kunako. CCM twafwaaa!
kwani leo Diamond alikuwepo??