Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za CCM jijini Mwanza - Kuelekea Septemba 7, 2020

Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za CCM jijini Mwanza - Kuelekea Septemba 7, 2020

Kama umefuatilia leo Magufuli akiwa kisesa, igomba, national, buzuruga na mabatini nadhani jibu utakua umepata.
Tuongee ukweli. Watu walikusanyika wengi sana mkuu. Sijui hata hiyo kesho itakuaje huko furahisha.
Watu wanekusanyika alafu nyuma Kuna gari la mziki la TOT???? Kajipangeni upya!!!
 
Watu wanekusanyika alafu nyuma Kuna gari la mziki la TOT???? Kajipangeni upya!!!
Mkuu Tindo angalia hii picha hapo chini. Yaani CCM wanatanguliza gari la TOT na wasanii, wanakusanya nyomi kwa ajiri ya burudani then mgombea wao ndo anakuja na msafara wake!!!

CCM wameishiwa sana mbinu kwa kweli. Yaani wanatengeneza picha kuwa mgombea wao anapendwa kumbe wanatanguliza wasanii kumkusanyia nyomi 😂😂😂😂

3CBB6BF8-A987-4FD3-843D-9EBAABEC1882.jpeg
 
Jembe hilo
Yaani mpaka raha
Vibendera wakijipa matumaini Hewa Wataingia Ikulu
Ndoto za Mchana nikawaida kwao
Tulia wewe Rais wa nchi hii ni huyu hapa usituambie habari ya utopolo huo
IMG_20200906_212246.jpeg
 
  • Thanks
Reactions: J C
Leo, Septemba 6, 2020, Mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Joseph Pombe Magufuli yupo safarini kuelekea jijini Mwanza kwa uzinduzi rasmi wa Kampeni za CCM mkoani humo.

Fuatana nasi kwa updates za kinachojiri

View attachment 1560740
View attachment 1560741
View attachment 1560742
View attachment 1560743
View attachment 1560744
View attachment 1560745
View attachment 1560746
MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA KISESA MWANZA

View attachment 1560702
View attachment 1560706
View attachment 1560703
View attachment 1560705
Wananchi wa jiji la Mwanza wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika maeneo ya Igoma, Nyakato Buzuluga na Mabatini jijini Mwanza kumpokea Mgombea wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ambaye amewasili mkoani Mwanza kwa ajili ya Mkutano wa Kampeni za Urais

View attachment 1560699
View attachment 1560700
Mapokezi ya Mgombea Urais eneo la Kisesa jijini Mwanza
Hapa Kazi Tu!
 
Leo, Septemba 6, 2020, Mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Joseph Pombe Magufuli yupo safarini kuelekea jijini Mwanza kwa uzinduzi rasmi wa Kampeni za CCM mkoani humo.

Fuatana nasi kwa updates za kinachojiri

View attachment 1560740
View attachment 1560741
View attachment 1560742
View attachment 1560743
View attachment 1560744
View attachment 1560745
View attachment 1560746
MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA KISESA MWANZA

View attachment 1560702
View attachment 1560706
View attachment 1560703
View attachment 1560705
Wananchi wa jiji la Mwanza wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika maeneo ya Igoma, Nyakato Buzuluga na Mabatini jijini Mwanza kumpokea Mgombea wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ambaye amewasili mkoani Mwanza kwa ajili ya Mkutano wa Kampeni za Urais

View attachment 1560699
View attachment 1560700
Mapokezi ya Mgombea Urais eneo la Kisesa jijini Mwanza
Duh, hadi mmeikumbuka JF, kweli We Got you wetting your pants down & off!😀😀
 
marketing strategy
jiandae kulia umeibiwa kura...
plus 5yrs ya kulalamika..
kinda sad[emoji2957]

Sina chochote cha kuniliza, ndio maana kauli yangu ni kuwa chini ya Magufuli hakuna uchaguzi, na hiyo October ni kilele cha maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 


picha la kutisha kama la rambo hilo
Sina chochote cha kuniliza, ndio maana kauli yangu ni kuwa chini ya Magufuli hakuna uchaguzi, na hiyo October ni kilele cha maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Mkuu Tindo angalia hii picha hapo chini. Yaani CCM wanatanguliza gari la TOT na wasanii, wanakusanya nyomi kwa ajiri ya burudani then mgombea wao ndo anakuja na msafara wake!!!

CCM wameishiwa sana mbinu kwa kweli. Yaani wanatengeneza picha kuwa mgombea wao anapendwa kumbe wanatanguliza wasanii kumkusanyia nyomi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 1561098
Roho zinawauma sana chadomo Huu mziki hamuuwezi ! Na happy no njiani tu
 
Back
Top Bottom