Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Watu wanekusanyika alafu nyuma Kuna gari la mziki la TOT???? Kajipangeni upya!!!Kama umefuatilia leo Magufuli akiwa kisesa, igomba, national, buzuruga na mabatini nadhani jibu utakua umepata.
Tuongee ukweli. Watu walikusanyika wengi sana mkuu. Sijui hata hiyo kesho itakuaje huko furahisha.