Maige Chagu
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 237
- 245
Mwanza yote ni kijani hilo halina ubishi,October 28 ushindi ni asubuhi tu, kura zote kwa Magufuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi wanaitwa Malalamiko FC!Hilo nyomi la Mwanza limewavuruga kabisa akili, hujaona nyumbu wameanza kulalamika eti kwanini anaongea sana kisukuma, na mwingine akahoji eti pale aliposhuka alikuwa ameenda kumuona nani
Mkuu mimi sio mwanasiasa ni picha tu nimeleta mimi wala sina chamaMmeishiwa sababu sasa
Mara wanafuata wasanii
Upuuzi mtupu
Sasa hivi wanaitwa Malalamiko FC!
Endelea kulalamika! Malalamiko FC!Mie ni mkazi wa mwanza , nyamagana maeneo ya lango lango -kata ya mbugani .
watu waliokuwa kemye mkutano wa lisu ndo wakazi wa ilemela & nyamagana. watu wanaoonekana kwenye mikutano ya sisiem ni wa ilemela , nayamagana, misungwi, bariadi, magu, na hata bunda na musoma. kazi ya kusomba watu ipo na inafanyika. na kuwaandaa watu kusimama na mabango pia......
Naomba unipe tofauti ya yule anayetoa ubwabwaWasanii ni wanachama wa CCM
wasanii wanachama wa CCM...Naomba unipe tofauti ya yule anayetoa ubwabwa
Na yule anayetumia wasanii??? Jibu tafadhali
Ova
Haha hahaa!. Angepita kimnya kama Mh Lisu bila ya kufunga barabara kwa saa zima huku maving'ora ya mapolisi kipigwa ovyo ovyo tuone angepata nani. Alafu kwa kuwa wanaowania urais ni wengi wangepewa msafara sawa na ulinzi kama wa huyu Meko ili tuwapinanishe nguvu.Hilo nyomi la Mwanza limewavuruga kabisa akili, hujaona nyumbu wameanza kulalamika eti kwanini anaongea sana kisukuma, na mwingine akahoji eti pale aliposhuka alikuwa ameenda kumuona nani
Walishaamua tayari sana sana tarehe 28/10/2020 wanaenda kumrudisha Msaliti Lissu kwa Mabwana Zake Ubelgiji.Hapo Magufuli hasikilizwi kabisa. Yaani ni mwendo wa kuangalia wasanii na kushangaa Drone za tbc. [emoji23][emoji23][emoji23] Watani zangu wasukuma sikilizeni hata sera basi achaneni na drone camera. View attachment 1560958View attachment 1560960View attachment 1560962
Ila mzee kwa anayopitia saivi hata akipita hatatamani kuongeza hata nukta ya miaka mingine. Hotuba zake zimekaa kinyampalaa anhekuwa na balora laribu angekuwa anacharaza watu fimbo 😁😂😀
Kama Chadema ni malalamiko fc basi Ccm na magufuli ni mafokeo fc maana si kwa kuwafokea kule wana busega leo na wana bunda kama kuwa hapeleki maendeleo kwa wapinzani huyo mbaguzi wenu mkubwaEndelea kulalamika! Malalamiko FC!
Haha hahaa!. Angepita kimnya kama Mh Lisu bila ya kufunga barabara kwa saa zima huku maving'ora ya mapolisi kipigwa ovyo ovyo tuone angepata nani. Alafu kwa kuwa wanaowania urais ni wengi wangepewa msafara sawa na ulinzi kama wa huyu Meko ili tuwapinanishe nguvu.