mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,068
- 6,758
Mkutano umejaaa watoto, wanafunzi wabibi na wazee ndio mtaji wa ccm?
Jembe hilo
Yaani mpaka raha
Vibendera wakijipa matumaini Hewa Wataingia Ikulu
Ndoto za Mchana nikawaida kwao
mbona zipo live mkuu...kule watu wanaelimika kwa sera na siyo buti la jeje la diamondChama cha Mapinduzi , kazi nzuri, tunaomba uwe unaweka live link kwa mikutano yote ya Magu.
Picha za Mtwara za Lissu mpaka saivi zipo jikoni zinapikwa kwanza 🤣
Ni kama wale watoto wa miaka kumi na chini ya hapo ambao walilia sana siku Nyerere alipofariki! Japokuwa walikuwa hawapo wakati wa uongozi wake! Sababu yenyewe ni kwamba watanzania wote walikuwa na mapenzi naye. Hivyo hivyo sasa watoto na watanzania wote wanampenda Magufuli kwa kazi alizozifanya kuongoza taifa. Watoto wanaona na wanasikia, hawatabaki nyuma. Hao hao watoto ukiwauliza Lissu hawamjui!Mbona watoto wengi sana hapo
hovyo kabisa kujadili ukabila, tanzania gani upo mpaka leo mnaulizana na kumjadili mtu kwa kabila?Siku zote nyie munawaelewa tu Wasukuma kwenye hii nchi ndio wanaotubebea mizigo
Mbona zipo Twitter zimejaa mkuuChama cha Mapinduzi , kazi nzuri, tunaomba uwe unaweka live link kwa mikutano yote ya Magu.
Picha za Mtwara za Lissu mpaka saivi zipo jikoni zinapikwa kwanza 🤣
Mbona zipo Twitter zimejaa mkuu
Ndiyo....sasa unasemaje?!?Mkutano umejaaa watoto, wanafunzi wabibi na wazee ndio mtaji wa ccm?
kwani leo Diamond alikuwepo??ni wivu tu[emoji3]
huwa CCM haina shoboKumbe huwa mpoo JF, ?! Mliadimika sana. Karibuni.
Hebu rudia tenauzi hauna mvuto kabisa huu...
Baba Lao!Unaweza kuona mapokezi katika video hii
Huna ratiba ya kampeni?Mbona Mara haijaimaliza why amekimbia haraka ajafika tarime
tenaHebu rudia tena
Kesho tukutane Kirumbatena