Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Watu wanekusanyika alafu nyuma Kuna gari la mziki la TOT???? Kajipangeni upya!!!Kama umefuatilia leo Magufuli akiwa kisesa, igomba, national, buzuruga na mabatini nadhani jibu utakua umepata.
Tuongee ukweli. Watu walikusanyika wengi sana mkuu. Sijui hata hiyo kesho itakuaje huko furahisha.
Unaweza kuona mapokezi katika video hii
ni wivu tu[emoji3]
Mkuu Tindo angalia hii picha hapo chini. Yaani CCM wanatanguliza gari la TOT na wasanii, wanakusanya nyomi kwa ajiri ya burudani then mgombea wao ndo anakuja na msafara wake!!!Watu wanekusanyika alafu nyuma Kuna gari la mziki la TOT???? Kajipangeni upya!!!
Tulia wewe Rais wa nchi hii ni huyu hapa usituambie habari ya utopolo huoJembe hilo
Yaani mpaka raha
Vibendera wakijipa matumaini Hewa Wataingia Ikulu
Ndoto za Mchana nikawaida kwao
Endelea kujifariji mkuu. Watu wanamfuata Magufuli. Uliza huko anaposimama.Watu wanekusanyika alafu nyuma Kuna gari la mziki la TOT???? Kajipangeni upya!!!
Hapa Kazi Tu!Leo, Septemba 6, 2020, Mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Joseph Pombe Magufuli yupo safarini kuelekea jijini Mwanza kwa uzinduzi rasmi wa Kampeni za CCM mkoani humo.
Fuatana nasi kwa updates za kinachojiri
View attachment 1560740
View attachment 1560741
View attachment 1560742
View attachment 1560743
View attachment 1560744
View attachment 1560745
View attachment 1560746
MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA KISESA MWANZA
View attachment 1560702
View attachment 1560706
View attachment 1560703
View attachment 1560705
Wananchi wa jiji la Mwanza wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika maeneo ya Igoma, Nyakato Buzuluga na Mabatini jijini Mwanza kumpokea Mgombea wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ambaye amewasili mkoani Mwanza kwa ajili ya Mkutano wa Kampeni za Urais
View attachment 1560699
View attachment 1560700
Mapokezi ya Mgombea Urais eneo la Kisesa jijini Mwanza
Shukrani mkuu.Siyo Furahisha ni ccm kirumba
roho inakuuma eh?Fiesta ya CCM , iko Mwanza.
Duh, hadi mmeikumbuka JF, kweli We Got you wetting your pants down & off!😀😀Leo, Septemba 6, 2020, Mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Joseph Pombe Magufuli yupo safarini kuelekea jijini Mwanza kwa uzinduzi rasmi wa Kampeni za CCM mkoani humo.
Fuatana nasi kwa updates za kinachojiri
View attachment 1560740
View attachment 1560741
View attachment 1560742
View attachment 1560743
View attachment 1560744
View attachment 1560745
View attachment 1560746
MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA KISESA MWANZA
View attachment 1560702
View attachment 1560706
View attachment 1560703
View attachment 1560705
Wananchi wa jiji la Mwanza wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika maeneo ya Igoma, Nyakato Buzuluga na Mabatini jijini Mwanza kumpokea Mgombea wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ambaye amewasili mkoani Mwanza kwa ajili ya Mkutano wa Kampeni za Urais
View attachment 1560699
View attachment 1560700
Mapokezi ya Mgombea Urais eneo la Kisesa jijini Mwanza
Kweli ccm ni chama cha wazee, hii I'd Ni ya tokea 2013 lakini mpaka leo ina post 7 tu!
Haaa haaaaa, fiesta ya bure hiyo kesho.
marketing strategy
jiandae kulia umeibiwa kura...
plus 5yrs ya kulalamika..
kinda sad[emoji2957]
Membe kashajikatia tamaa,muda siyo mrefu lissu naye atabwaga manyanga,urais siyo size ya lissu,angegombea udiwani tu kwa kuwa hata ubunge mwaka huu asingepataMzee mbona kama anataka kukata moto?
Sina chochote cha kuniliza, ndio maana kauli yangu ni kuwa chini ya Magufuli hakuna uchaguzi, na hiyo October ni kilele cha maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Tuliza hicho Kicimi wewe.roho inakuuma eh?
Roho zinawauma sana chadomo Huu mziki hamuuwezi ! Na happy no njiani tuMkuu Tindo angalia hii picha hapo chini. Yaani CCM wanatanguliza gari la TOT na wasanii, wanakusanya nyomi kwa ajiri ya burudani then mgombea wao ndo anakuja na msafara wake!!!
CCM wameishiwa sana mbinu kwa kweli. Yaani wanatengeneza picha kuwa mgombea wao anapendwa kumbe wanatanguliza wasanii kumkusanyia nyomi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1561098
Roho zituume kwa shazi la kufuata wasanii na bendi???Roho zinawauma sana chadomo Huu mziki hamuuwezi ! Na happy no njiani tu