Zanzibar 2020 Uzinduzi wa kampeni za CCM Zanzibar: Mwinyi kuhakikisha Zanzibar inanufaika na bahari, kuleta Upendo na amani

Zanzibar 2020 Uzinduzi wa kampeni za CCM Zanzibar: Mwinyi kuhakikisha Zanzibar inanufaika na bahari, kuleta Upendo na amani

Mapenzi ya wazanzibari ni maalif hali Seif tangu 2000
We hukielewi kabisa.
Angalia

Chagua CCM
Chagua Dr. Hussein Mwinyi
Chagua Magufuli
#Anakubalika
#MtuWaWatu
#YajayoNineemaTu
#KuraYaNdiyoKwaMwinyi
#KuraYaNdiyoKwaMagufuli
#Mwinyi2020[emoji736]
#TwendeNaMwinyi
@ccm_tanzania
@hpolepole
@SuluhuSamia
@DrHmwinyi
@MagufuliJP
IMG-20200912-WA0178.jpg
 
Tunaimani na Dkt Mwinyi,Tunasonga mbele na CCM,Maalim akalee wajukuu Siasa hawezi analeta chokochoko tu.
Chagua CCM
Chagua Dr. Hussein Mwinyi
Chagua Magufuli
#Anakubalika
#MtuWaWatu
#YajayoNineemaTu
#KuraYaNdiyoKwaMwinyi
#KuraYaNdiyoKwaMagufuli
#Mwinyi2020[emoji736]
#TwendeNaMwinyi
@ccm_tanzania
@hpolepole
@SuluhuSamia
@DrHmwinyi
@MagufuliJP
 
Hakika wazanzibar wameamua, Dr. Hussein Mwinyi na Chama Cha Mapinduzi kitashinda kwa kishindo Zanzibar.
Chagua CCM
Chagua Dr. Hussein Mwinyi
Chagua Magufuli
#Anakubalika
#MtuWaWatu
#YajayoNineemaTu
#KuraYaNdiyoKwaMwinyi
#KuraYaNdiyoKwaMagufuli
#Mwinyi2020[emoji736]
#TwendeNaMwinyi
@ccm_tanzania
@hpolepole
@SuluhuSamia
@DrHmwinyi
@MagufuliJP
 
Hawa jamaa hawaaminiki; wasije wakawavisha watoto wetu ma dira ya CCM ili kwenda kujaza uwanja...

Hili tunaliangalia kwa karibu sana maana ni ukiukaji mkubwa wa haki za mtoto.
 
MWINYI kazaliwa MKURANGA, hajawahi kuishi ZANZIBAR.
Hatuwezi kutawaliwa na Rais kutoka Bara.

hana mvuto, hajui kuongea na hapendwi.
Sisi tupo na Maalim SEif
UZINDUZI WA KAMPENI ZA CHAMA CHA MAPINDUZI ZANZIBAR

Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kupitia link hizi hapa chini..

YouTube



Twitter



Facebook

 
Hawa jamaa hawaaminiki; wasije wakawavisha watoto wetu ma dira ya CCM ili kwenda kujaza uwanja...

Hili tunaliangalia kwa karibu sana maana ni ukiukaji mkubwa wa haki za mtoto.
Ccm ni cha imara watu wanakwenda wenyewe bila kuvutwa wala kusukumwa
 
Hahaha nyie jamaa ni wa hovyo subirini trh 15
Hivi kwa umri alionao mzee maalim seif anawaambia watu wajiandae kwa ajili ya kupigana yeye anaweza kupigana na nani?
Au ndio anataka kutoa wazanzibari kafara?
Hajawa raisi anawaambia watu wajiandae kuvuruga amani ya nchi, akiwa raisi itakuwaje?
Kimsingi mpaka hapo ameshapoyeza sifa zote za kuwa raisi wa Zanzibar.
Dr. Mwinyi ndiye anyestahili kuwa raisi wa Zanzibar.
Ni mpole,
Ni mstahimilivu
Hana kasoro yoyote

Seif anamadeni kibao 150m kabla hajawa raisi akiwa raisi sindo atakopa mpaka nchi ishindwe kuyalipa baadae
 
Ccm ni cha imara watu wanakwenda wenyewe bila kuvutwa wala kusukumwa
Haha ha, CCM wameshakosa uaminifu kwa wananchi...kinachofanyika ni utemi ... kutumia Police, NEC, Usalama wa taifa na hata majeshi...

Wacha tuone, ngoma ya mwaka huu ni taam balaa!!
 
UZINDUZI WA KAMPENI ZA CHAMA CHA MAPINDUZI ZANZIBAR

Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kupitia link hizi hapa chini..

YouTube



Twitter



Facebook

Ni Neema tupu kwa wazanzibari
Chagua CCM
Chagua Dr. Hussein Mwinyi
Chagua Magufuli
#Anakubalika
#MtuWaWatu
#YajayoNineemaTu
#KuraYaNdiyoKwaMwinyi
#KuraYaNdiyoKwaMagufuli
#Mwinyi2020[emoji736]
#TwendeNaMwinyi
@ccm_tanzania
@hpolepole
@SuluhuSamia
@DrHmwinyi
@MagufuliJP
IMG-20200912-WA0121.jpg
 
Hawa jamaa hawaaminiki; wasije wakawavisha watoto wetu ma dira ya CCM ili kwenda kujaza uwanja...

Hili tunaliangalia kwa karibu sana maana ni ukiukaji mkubwa wa haki za mtoto.
Hebu tuoneshe mtoto wako yuko wap hapo?
IMG-20200912-WA0154.jpg
 
Back
Top Bottom