Zanzibar 2020 Uzinduzi wa kampeni za CCM Zanzibar: Mwinyi kuhakikisha Zanzibar inanufaika na bahari, kuleta Upendo na amani

Zanzibar 2020 Uzinduzi wa kampeni za CCM Zanzibar: Mwinyi kuhakikisha Zanzibar inanufaika na bahari, kuleta Upendo na amani

Wanachama kwenye picha wengi wao hawaonyeshi kama ni wazanzibari.
Wengi wao ni wazanzibari. Wewe kwa akiri yako fingu Hawa wote wametoka bara?????
IMG-20200912-WA0242.jpg
 
Chama Cha Mapinduzi Zanzibar leo tarehe 12 Septemba 2020 kinafanya mkutano wa uzinduzi wa Kampeni zake katika Uwanja wa Demokrasia, Kibandamaiti. Mgombea wa Kiti cha Urais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dokta Hussein Ally Mwinyi ataeleza dhamira yake ya kuitumikia Zanzibar.

Mkutano huu utarushwa mubashara na vituo vya televisheni vya TBC, ZBC, Clouds TV, Channel 10 na ITV, pia matangazo yatarushwa live kupitia kurasa rasmi za Chama Cha Mapinduzi katika mitandao ya kijamii;

Twitter; @ccm_zanzibar @ccm_tanzania & @hpolepole

facebook; @zanzibarCCM na @tanzaniaCCM

Youtube CCM Zanzibar & CCM Tanzania

Instagram: @ccmtanzania

#YajayoNineemaTu
#TwendeNaMwinyi
#KuraKwaMwinyi2020

View attachment 1567266
Kikundi cha Zanzibar Big Star kikiwa jukwaani kutoa burudani kwa wanachama wa CCM na wananchi wa Zanzibar waliojitokeza kwa wingi katika uzinduzi wa Kampeni za Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, Uwanja wa Demokrasia, Kibandamaiti.

View attachment 1567322
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Mpendae Zanzibar wakiwa njiani kuelekea katika Uwanja wa Demokrasia, Kibandamaiti kushuhudia uzinduzi wa Kampeni


FUATILIA MATANGAZO MUBASHARA KUPITIA LINK HII;
Huu ni uzinduzi wa kihistoria, tunachosubiri ni kumuapisha Rais Mteule Hussein Ally Mwinyi.
 
Kwa hakika kila jambo na wakati wake ule wakati ambao watanzania waliusubiri ili waweze kufanya maamuzi yao ya kuwachagua viongozi wenye hoja madhubuti na kuwaacha vibaraka na wasaliti wa nchi ndio huu sasa.Hivi tunawezaje kumchagua mtu ambae ana hubiri uvunjifu wa amani kwa taifa letu ana hubiri wazi wazi juu ya kuuvunja muungano wetu .hili naamini watanzania hawatafanya makosa ikifika tarehe 10/09/2020. Watamchagua Dr.John Pombe Magufuli Rais wa Jamhuri na Dr.Husein Ally Mwinyi Rais wa Zanzibari.
Saivi ni mwendo wa kuwaacha na kuwapiga chini wagombea wote wenye dalili za usaliti. Piga chini Lissu, piga chini Maalim seif na wengine wote akina Lissu
 
Ulichosema ni sahihi na sana anaepinga anaweza kua na dalili za mbili ya uchawi au ugaidi!!!
Kabisa. Mwinyi ndio Rais wetu Zanzibar



Chagua CCM
Chagua Dr. Hussein Mwinyi
Chagua Magufuli
#Anakubalika
#MtuWaWatu
#YajayoNineemaTu
#KuraYaNdiyoKwaMwinyi
#KuraYaNdiyoKwaMagufuli
#Mwinyi2020[emoji736]
#TwendeNaMwinyi
@ccm_tanzania
@hpolepole
@SuluhuSamia
@DrHmwinyi
@MagufuliJP
 
Kabisa. Mwinyi ndio Rais wetu Zanzibar



Chagua CCM
Chagua Dr. Hussein Mwinyi
Chagua Magufuli
#Anakubalika
#MtuWaWatu
#YajayoNineemaTu
#KuraYaNdiyoKwaMwinyi
#KuraYaNdiyoKwaMagufuli
#Mwinyi2020[emoji736]
#TwendeNaMwinyi
@ccm_tanzania
@hpolepole
@SuluhuSamia
@DrHmwinyi
@MagufuliJP
Its true
 
Yaan Dkr. Mwinyi ni balaaaa kahaidi kuto wafumbia macho wale wote watako kua wabadhilifu, wala rushwa na wazembe kazini, hakuna kufanya kazi kwa mazoea
 
Dkt. Mwinyi kaongea kisayansi yaani kagusa mambo kumi yaliyo fanyika na kumi yatakayo fanyika its verry short , clear and aplicable (persuasive speach)

Kaongea mambo yote ya msingi wanayotaka wa zanzibar kwa umakini sana na kwa kumaanisha,hakika CCM haijakosea kumchagua Dkt Hussein
 
Daah mmetia huruma uzi mzima ninyi tu mnaweka comment 10 10 bwahahahahahahaha!
Mbona hujiamini?
Unaogopa?
Ulifkiri humu utakuta watu wasiojielewa kam ww?
Umechelewa ndugu yang, watu washachoka na siasa za uongo za wapinzani!
 
picha zinaongea zenyewe hizi jamani

"Kwenye suala la ajira, Ilani yetu imeelekeza. Tutahakikisha tunatoa ajira Laki 3 kwenye sekta rasmi na zisizo rasmi kwa vijana wa Zanzibar." Dkt Mwinyi Kutoka Zanzibar.

1599925885740.png
 
Back
Top Bottom