Zanzibar 2020 Uzinduzi wa kampeni za CCM Zanzibar: Mwinyi kuhakikisha Zanzibar inanufaika na bahari, kuleta Upendo na amani

Zanzibar 2020 Uzinduzi wa kampeni za CCM Zanzibar: Mwinyi kuhakikisha Zanzibar inanufaika na bahari, kuleta Upendo na amani

Chagua CCM
Chagua Mwinyi
Chagua Magufuli
Chagua Mwinyi
Chagua Magufuli
Chagua CCM
IMG-20200912-WA0267.jpg
 
Chama Cha Mapinduzi Zanzibar leo tarehe 12 Septemba 2020 kinafanya mkutano wa uzinduzi wa Kampeni zake katika Uwanja wa Demokrasia, Kibandamaiti. Mgombea wa Kiti cha Urais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dokta Hussein Ally Mwinyi ataeleza dhamira yake ya kuitumikia Zanzibar...
Zanzibar ya Kijani
 
Ajira zinatolewa kila uchwao tuma CV acha kulalamika chukua hatua

Hayo mahospitali unakotibiwa, mabarabara ya lami unakopita, unakotembea kwa amani bila bugdha jua ni serkali inawajibika

Unatishia kuua? Kijana nakushauri Rudi kwenu oman kabisa, Tanzania hakuna hiyo nafasi

Kijana hapa nina wajukuu wangu zaidi ya 10 wamemaliza vyuo hawana kazi , Hivi hukumsikia yule Waziri aliyewaambia wale vijana waliorudi China hivi karibuni kuwa serikali haina ajira kwa hivyo wawaombe wafanya biashara wawatafutie kazi japo za kuwa mkalimani wao ??. Yaani serikali imewapeleka china kuchuuwa Masters hata planning hawana vijana wamerudi , ajira hazipo.

Mtoto fanya haraka urudi kwa babayako Chato hapa tumeshawachoka wavamizi . Mnaotishia kuuwa ni nyinyi mnaotujazia majeshi , kambi kila mtaa .Mwaka huu mtakiona.
 
Wewe utakua mzazi usiekuwa na exposure, yaani unamchukua mtoto wako unampeleka China kwa ajili ya kwenda kujifunza kichina miaka mitatu

Hiyo ada na nauli Kwanini usingeanzisha kiwanda kidogo mkatengeneza uchumi?

Jeshi ni kwa ajili ya amani ya Nchi, ila km nyie ni vibaka jeshi litawashughulikia
Kijana hapa nina wajukuu wangu zaidi ya 10 wamemaliza vyuo hawana kazi , Hivi hukumsikia yule Waziri aliyewaambia wale vijana waliorudi China hivi karibuni kuwa serikali haina ajira kwa hivyo wawaombe wafanya biashara wawatafutie kazi japo za kuwa mkalimani wao ??. Yaani serikali imewapeleka china kuchuuwa Masters hata planning hawana vijana wamerudi , ajira hazipo.

Mtoto fanya haraka urudi kwa babayako Chato hapa tumeshawachoka wavamizi . Mnaotishia kuuwa ni nyinyi mnaotujazia majeshi , kambi kila mtaa .Mwaka huu mtakiona.
 
Ni mwenye UFINYU wa akili tu anayeweza kupoteza kura yake.




Ni kweli kwani asiye na akili atampa kura mwizi anayejijengea uwanja wa ndege nyumbani kwake na akaanzisha mbuga na kujenga mahoteli yake kwao kwa kuchota pesa za serikali.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wewe utakua mzazi usiekuwa na exposure, yaani unamchukua mtoto wako unampeleka China kwa ajili ya kwenda kujifunza kichina miaka mitatu...
Wewe utakuwa mtoto wa wakubwa . Hivi hata unachokiandika unakijua? vijana mumewapeleka kusoma mambo ya uchumi na uhandisi unaniambia nimewapeleka watoto China?
 
Ushauri wangu kwa Mwinyi baada ya kuapishwa inabidi amtafutie kazi ya kufanya ndugu Maalimu kwa sababu ndio kipindi chake cha mwisho cha kugombea ,, tunatambua mchango wake kwa nafasi aliyokua nayo kabla lakini sikubaliani na tamaa zake ,,, ukweli ni kwamba maalimu ni zaidi ya Mwananzira .

Hussein Mwinyi atashindwa mapema tokea saa 5 asubuhi. trust me. labda aokolewe na Jecha version 2
 
Hatutaacha kuwakumbusha ninyi pamoja na viongozi wenu kuwa propaganda hazikupi kura ila sera, umemsikia Dr. Mwinyi akizungumza propaganda yoyote leo? yuko very straight na sera zake na mikakati, sasa tutege sikio kesho, yaani upinzani wa bongo ni wa hovyo walopokaji wengi
Airport terminal ndogo tu, mpaka sasa miaka 11 kama sijakosea wameshindwa kuimaliza! unataka kutwambia nini? Mji mchafu umejaa barabara mbovu mpaka Majaaliwa mwenyewe kawaumbua!

Imejengwa Michenzani Mall Balozi Seif Ali iddi anakwambia watu watakuwa hawaendi dubai tena watakwenda kwenye Mall, akili matope hayo?

CCM walivo mazombie na wao wameamini kwa majengo mawele yaliojengwa basi Zanzibar imekuwa dubai walioahidi! 😀 😀 😀 Subiri uone kishindo cha Maalim atakavowaumbua.
 
Zanzibar ni tunaenda na Hussein, Maalim atatusamehe.
siasa za Zanzibar hazikuhusu wewe bwege... kwani wewe mzanzibar? Hussein ni mgeni tu kama wewe huku Zanzibar atarudi tu huko Tanganyika. Wazanzibari tunahitaji dola ya nchi yetu kwanza sio siasa za ccm tena
 
Mwinyi ni chaguo la Wanzanzibar, hakika anakwenda kutenda mema zaidi
mwinyi sio chaguo la wazanzibari ni chaguo la CCM Dodoma tu ndio waliotufikisha hapa mwinyi ni mgeni tu Zanzibar na wala hajawahi kuishi Zanzibar.

Wazanzibari tunapigania dola ya nchi yetu ndio lengo letu kubwa nasi kuusaliti uzanzibari na dola ya nchi yetu
 
Back
Top Bottom