Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,106
- 6,678
Nimefatikia sera za cuf hawa kiasi fran wana hoja na sera tena wanatoa na takwimu kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi ni Nchi huru
Wewe upate wapi familia wakati wewe mwenyewe ni tegemezi?Chadema ndio waasisi matusi majukwaani wanaleta shida
Mimi na familia yangu Siwezi kufungua t.v. niangalie mkutano wa chadema kwani matusi yamewajaa kinywani
Kiukweli kwa wale waliomsikiliza hotuba ya ufunguzi wa kampeni za Prof Lipumba pale Mtwara atakubaliana nami hotuba ile ilikuwa na viwango.
Prof Lipumba amezungumzia maeneo yote muhimu ya kiuchumi na Huduma za kijamii na namna atakavyoshugulikia maeneo hayo.
Binafsi naiona hotuba hii inashika nafasi ya pili kwa ubora ya kwanza ikiwa ile iliyotolewa na Dr Magufuli pale uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.
Maendeleo hayana vyama!
Kwel bwashee hamtoacha kuwewesekaKiukweli kwa wale waliomsikiliza hotuba ya ufunguzi wa kampeni za Prof Lipumba pale Mtwara atakubaliana nami hotuba ile ilikuwa na viwango.
Prof Lipumba amezungumzia maeneo yote muhimu ya kiuchumi na Huduma za kijamii na namna atakavyoshugulikia maeneo hayo.
Binafsi naiona hotuba hii inashika nafasi ya pili kwa ubora ya kwanza ikiwa ile iliyotolewa na Dr Magufuli pale uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.
Maendeleo hayana vyama!
Kweli kabisa mabeberu yanaturubuni kwa kutupa misaada. Tunalemazwa na mabeberu .Bora hawa cuf kuliko Chadema wanaotumiwa na mabeberu kuharibu amani ya Nchi yetu
Nasubiri copyMkataba wa Rais Magufuli ni nzuri sana Watanzania tunapata haki yetu
For sure prof alikuwa ametuliaKiukweli kwa wale waliomsikiliza hotuba ya ufunguzi wa kampeni za Prof Lipumba pale Mtwara atakubaliana nami hotuba ile ilikuwa na viwango.
Prof Lipumba amezungumzia maeneo yote muhimu ya kiuchumi na Huduma za kijamii na namna atakavyoshugulikia maeneo hayo.
Binafsi naiona hotuba hii inashika nafasi ya pili kwa ubora ya kwanza ikiwa ile iliyotolewa na Dr Magufuli pale uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.
Maendeleo hayana vyama!
Rais ni Pombe na we ni Bia kwanini mawazo unayotoa yasiwe ulevi!! Hivi aliye saini mikataba mikataba ya uchimbaji na haya makampuni na kuyapa grace period ya miaka 5 alikuwa Lissu.? Mbona unajitoa ufahamu au kwasababu we ni bia na yule ni pombe!!!!?Lissu alikuwa anawatetea Mabeberu yaibe madini yetu
Rais Magufuli akatupigania Watanzania
Huyo Lipumba unamuelewa wewe tu maana akili zenu zinafananaProf Lipumba huwa anajua kujenga hoja, anao uwezo wa kuongea na akaeleweka anaongelea kitu gani.
Kiukweli kwa wale waliomsikiliza hotuba ya ufunguzi wa kampeni za Prof Lipumba pale Mtwara atakubaliana nami hotuba ile ilikuwa na viwango.
Prof Lipumba amezungumzia maeneo yote muhimu ya kiuchumi na Huduma za kijamii na namna atakavyoshugulikia maeneo hayo.
Binafsi naiona hotuba hii inashika nafasi ya pili kwa ubora ya kwanza ikiwa ile iliyotolewa na Dr Magufuli pale uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.
Maendeleo hayana vyama!
Prof Lipumba huwa anajua kujenga hoja, anao uwezo wa kuongea na akaeleweka anaongelea kitu gani.
Wewe msikilize Tundu Lissu hakuna wa kukuzuia.
Hata wanao mfuatilia hawana mvutoLipumba hsnaga mvuto kumfuatilia