Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mskulule wa lumumba punguza pumba basiNnyumbu wa ufipa mbona leo hamjavuka mto wa mamba?
Hebu tupe summary amesemaje mkuu..... Au nae ameahidi midege km jamaaAcheni kukaa nyuma ya keyboard, njoo hapa kawe tusikilize sera.
Unapenda wapi we msukule wa lumumbaMkuu malizia sentensi tukuelewe vizuri, twende nae Wapi Amsterdam au ubeligiji?
Wazungu wanafiki sana njia waliotumia kukuza uchumi wa nchi zao zilikuwa haramu,kwa kupora,kuuwa,kulaghai.Waliwabaka bibi zetu na kuleta magonjwa mabaya kama syphilis.Haya maneno ni machungu lakini ndio ukweli wenyewe, kwenye album mpya ya Burna Boy aliyoitoa mwezi huu kuna wimbo unaitwa “The monsters you have made” humo anaelezea hii habari.
Jamaa wametuibia kila kitu, na bado wanataka kuendelea kutuibia hata kidogo tulichonacho, tena hili wameli justify kwenye maandiko yao yaliyowakalilisha wazee wetu eti kwamba aliyenacho ataongezewa, asiyenacho hata kidogo alichonacho atanyang’anywa. Tukiweka sura za ukauzu kama kina Magu, Ghadaffi, Savimbi, Iddi Amin, Kagame, Museveni na wengineo utaskia nyenyenye zao kila pande ya dunia.
Wazungu na wafuasi wao ni watu wa double standards sana.
Sio kweliSwali laweza kujibiwa kwa swali pia.
Ndio maana wamezindua katika centres 3 tofauti katika jiji la Dsm, vituo vya redio /TV vimepigwa ban kutangaza habar za chadema ,wakithubutu wanafungiwa .Kumtoa mtu ndani kwake hadi aje kusikiliza sera zako ni jambo ambalo linahitaji technique nyingi. Kwanza hamasa
CHADEMA hamkua na hamasa yoyote ya kuhamasisha watu juu ya uzinduzi wa kampeni yenu, amsha amsha hazikuepo kama zile enzi za Dkt. Slaa.
Hamkua na vitu vya kushawishi watu waje zaidi ya Lissu, hamuoni CCM wanakodi mpaka wasanii ili wajaze uwanja?
CHADEMA mnafeli, Katibu Mkuu umefeli.
Kiujumla mmefeli nyote na mkiendelea hivyo hivyo mtapoteza mvuto kabisa.