Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA waendelea, Kawe kumewaka moto leo

Wakuu mwenye ilani ya CHADEMA tunaiomba tusome yaliyomo ili tujue wa Kumpigia kura October 28. Kwa sababu hizi si nyakati za Ulaghai.
 
Wazungu wanafiki sana njia waliotumia kukuza uchumi wa nchi zao zilikuwa haramu,kwa kupora,kuuwa,kulaghai.Waliwabaka bibi zetu na kuleta magonjwa mabaya kama syphilis.
Wazungu hao hao ilikuwa hadi vita ya ukombozi kuwaondoa nchi za Kiafrika miaka michache ya nyuma leo hao wazungu wanakuja na Injiri ya utawala bora its a joke.

Kama kweli shetani wekundu hao wana mapenzi na Africa mbona hawajafanya kikao cha kurudisha mali walizopora Africa kama walivyo fanya Berlin Conference 1884 ?
Ushahidi wa Berlin Conference unatosha kuturejeshea mali zetu.
 
Ndio maana wamezindua katika centres 3 tofauti katika jiji la Dsm, vituo vya redio /TV vimepigwa ban kutangaza habar za chadema ,wakithubutu wanafungiwa .

Wanamziki wote wanajua ukijihusisha na chadema ,kufungiwa kazi zako kunakuhusu, kwahiyo chadema wanaendana na mazingira, na wataweza kwa sababu wanazidi kupata kasi kwa kasi toka wazindue Ilani yao ambayo inagusa watu.

Watafanikiwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…