Uzinduzi William TV: Dunia macho na maskio yote Dar, ni tukio la kihistoria

Uzinduzi William TV: Dunia macho na maskio yote Dar, ni tukio la kihistoria

William Malecela (Lemutuz) au makinikia kama anavyojulikana katika ulimwengu wa mitandao ya kijamii kwa sasa ameitikisa tasnia ya television nchini baada ya kutangaza ujio wa TV yake.

Masaa mawili baada ya kutangaza tu,wakurugenzi wa TV zote Kubwa nchini walifanya vikao saa.

Usiku kuona ni jinsi gani wanamdhibiti kabla hajawa tatizo huku wengine wakishauri aongezewe namba za supa mbebezz rangi ya mtume wamkeep bize
na kupoteza focus.

Lemutuz ambaye anajulikana kwa kuajiri vijana waliomaliza chuo kikuu pekee amedai mipango yake miezi ijayo ni kuanza kuuza ving'amuzi ambavyo hivi vitakuwa tofauti kidogo na vingine kwani king'amuzi hiki kitakuwa na Chanel moja tu ya Lemutuz TV.

Mdau nini maoni yako katika mapinduzi haya?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli bongo kuna mambo
 
Ameona akutumia kuchokoza HISIA za watu Asubuhi na mapema...

Urudishe UZI huu majira ya JIONI..
 
Nimesikia atakuwa anaonyesha jinsi ya kuhugg watatoz, mwanaume kuwa mbea, kuvaa same clothes for three years, kutotumia deodorant, kunuka mdomo kwa sababu anadai mwanaume anayejitambua hatakiwi kuwa msafi kisa eti mwanaume ni mtu wa kazi muda wote. Le Mutuz bwana.
20170528_104933-jpg.515599
 
William Malecela (Lemutuz) au makinikia kama anavyojulikana katika ulimwengu wa mitandao ya kijamii kwa sasa ameitikisa tasnia ya television nchini baada ya kutangaza ujio wa TV yake.

Masaa mawili baada ya kutangaza tu,wakurugenzi wa TV zote Kubwa nchini walifanya vikao saa.

Usiku kuona ni jinsi gani wanamdhibiti kabla hajawa tatizo huku wengine wakishauri aongezewe namba za supa mbebezz rangi ya mtume wamkeep bize
na kupoteza focus.

Lemutuz ambaye anajulikana kwa kuajiri vijana waliomaliza chuo kikuu pekee amedai mipango yake miezi ijayo ni kuanza kuuza ving'amuzi ambavyo hivi vitakuwa tofauti kidogo na vingine kwani king'amuzi hiki kitakuwa na Chanel moja tu ya Lemutuz TV.

Mdau nini maoni yako katika mapinduzi haya?
13082760_558106471038422_3996335955544218831_n.jpg


- Kazi ya kujenga Studio inaendelea nategemea in the next 3 Weeks tutaanza majaribio ya kuruka hewani so stay tuned!

le Mutuz
 
William Malecela (Lemutuz) au makinikia kama anavyojulikana katika ulimwengu wa mitandao ya kijamii kwa sasa ameitikisa tasnia ya television nchini baada ya kutangaza ujio wa TV yake.

Masaa mawili baada ya kutangaza tu,wakurugenzi wa TV zote Kubwa nchini walifanya vikao saa.

Usiku kuona ni jinsi gani wanamdhibiti kabla hajawa tatizo huku wengine wakishauri aongezewe namba za supa mbebezz rangi ya mtume wamkeep bize
na kupoteza focus.

Lemutuz ambaye anajulikana kwa kuajiri vijana waliomaliza chuo kikuu pekee amedai mipango yake miezi ijayo ni kuanza kuuza ving'amuzi ambavyo hivi vitakuwa tofauti kidogo na vingine kwani king'amuzi hiki kitakuwa na Chanel moja tu ya Lemutuz TV.

Mdau nini maoni yako katika mapinduzi haya?
Dunia gani, hii ninayoishi mimi na MVP wa Makinikia!!!!????
 
Back
Top Bottom