Uzinzi limekuwa tatizo kubwa kwa nchi yetu, laana hii itatuingiza kwenye majanga makubwa ndio maana mvua hazinyeshi

Uzinzi ndiyo nini. Binadamu ni mnyama kama wanyama wengine. Wapo dunia Kwa ajili ya kuzaa watoto tu. Mengine ni man made si nature. Jiulize wanadamu wote duniani wameshuswa au wamezaliwa
 
Kwani kufanya mapenzi ni kupenda au ni nguvu ya asili kutokana na kuwa na viungo vya uzazi ambavyo vinahitaji kufanya kazi iiliyovileta
 
Afanyaye uzinzi hana akili, Mtoto apatikanaye kwa uzinzi amelaaniwa.
 
Tatizo watumishi wa umma wamezulumiwa
 
Afanyaye uzinzi hana akili, Mtoto apatikanaye kwa uzinzi amelaaniwa.
Shida ni pale kupokea Kila kitu bila ya kuchuja. Hii yote ni sababu dini za kuletewa ambazo Kwa Sasa zinapingana na mambo mengi sana Kwa Hali halisi ya kidunia. Uzinzi ndiyo nini au ndoa ndiyo nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…