Uzinzi limekuwa tatizo kubwa kwa nchi yetu, laana hii itatuingiza kwenye majanga makubwa ndio maana mvua hazinyeshi

Uzinzi limekuwa tatizo kubwa kwa nchi yetu, laana hii itatuingiza kwenye majanga makubwa ndio maana mvua hazinyeshi

Uzinzi ndiyo nini. Binadamu ni mnyama kama wanyama wengine. Wapo dunia Kwa ajili ya kuzaa watoto tu. Mengine ni man made si nature. Jiulize wanadamu wote duniani wameshuswa au wamezaliwa
 
Nakuunga mkono,tanzania tunaendekeza ngono mno ndo maana hata maendeleo hakuna
Mijadala kama mtu hawezi kaa mbali bila kufanya mapenzi na mingine mingi inaonesha jinsi akili zetu zinaona hakuna maisha bila mapenzi
Utaonekana wa ajabu kusema mie nilienda masomoni mwaka na sikufanya mapenzi kwa kipindi hiki na zaidi utaonekana kituko mwanaume kusema sijawahi kuchepuka
Kwani kufanya mapenzi ni kupenda au ni nguvu ya asili kutokana na kuwa na viungo vya uzazi ambavyo vinahitaji kufanya kazi iiliyovileta
 
Afanyaye uzinzi hana akili, Mtoto apatikanaye kwa uzinzi amelaaniwa.
Shida ni pale kupokea Kila kitu bila ya kuchuja. Hii yote ni sababu dini za kuletewa ambazo Kwa Sasa zinapingana na mambo mengi sana Kwa Hali halisi ya kidunia. Uzinzi ndiyo nini au ndoa ndiyo nini
 
Back
Top Bottom