dafram power
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 434
- 660
jibu swali. sawa?Acha upuuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jibu swali. sawa?Acha upuuzi
Bila shaka we ni shogaUpo sahihi. Ndo maana hatuna maendeleo Uzinzi ndo Tatizo na sio ushoga
Wanajifanya wenyewe??Hasa wake za watu wanatombesha Sana kiukweli
Mbonaa humwongelei mlandiziIsaya 10:27 maandiko matakatifu yanasema mungu ataondoa mzigo na nira mabegani mwetu lakini nimetafakari sana nira na mzigo ambao nchi yetu imeubeba nimegundua ni uzinzi.
Nchi hii watu wanazini kupitiliza na Sasa ushoga umepamba moto !watu wanaumizana ndoa zinavunjika kwa sababu ya uzinzi, uzinzi haujapata tiba katika nchi yetu.
Mungu alileta ukimwi ili watu wapate hofu lakini binadamu wakabuni kondomu 'mchezo unaendelea.
Nasema Tena uzinzi ni tatizo kubwa sana kwenye nchi yetu sijajua ninani atakuja kuleta SULUHISHO maana hata wahubiri nao wameshindwa kujinasua na hili pepo la uzinzi hali ni mbaya sana mungu atusaidie.
Nahisi Kuna mapigo makubwa Afrika na Dunia kwa ujumla itayapitia kwa sababu ya uzinzi mungu atusaidie afrika mungu aisaidie Tanzania.
Nishawaspot acha tu 😟 🤮Kuna uzi umeanzishwa huko wanasifia uzinzi, kuna visichana viwili vinasifia, mmoja wao mhaya, mwingine msukima
Achama na huyo ni lofa sanaKila mtu apambane na hali yake.
Hivi hujui raha ya kufanya mapenzi au unajitoa ufahamu?
Aache ujinga upi wakati umese, a ushoga sip shidaAcha upuuzi
Wewe kweli akili yako ni ndog.o sana.Isaya 10:27 maandiko matakatifu yanasema mungu ataondoa mzigo na nira mabegani mwetu lakini nimetafakari sana nira na mzigo ambao nchi yetu imeubeba nimegundua ni uzinzi.
Nchi hii watu wanazini kupitiliza na Sasa ushoga umepamba moto !watu wanaumizana ndoa zinavunjika kwa sababu ya uzinzi, uzinzi haujapata tiba katika nchi yetu.
Mungu alileta ukimwi ili watu wapate hofu lakini binadamu wakabuni kondomu 'mchezo unaendelea.
Nasema Tena uzinzi ni tatizo kubwa sana kwenye nchi yetu sijajua ninani atakuja kuleta SULUHISHO maana hata wahubiri nao wameshindwa kujinasua na hili pepo la uzinzi hali ni mbaya sana mungu atusaidie.
Nahisi Kuna mapigo makubwa Afrika na Dunia kwa ujumla itayapitia kwa sababu ya uzinzi mungu atusaidie afrika mungu aisaidie Tanzania.
Aisee watu mna stressAache ujinga upi wakati umese, a ushoga sip shida
Basi mjinu jamaa swali lakeAisee watu mna stress
😂😂🤣🤣😂Utaskia kuna punda inasema, “ndo walivyoumbwa’”
Jibu ni kuwa ushoga ni zao la Uzinzi na wote lazima waende motoni mashoga na wazinzi.Basi mjinu jamaa swali lake