Uzinzi ni gharama kubwa, kama wewe sio risk taker tulia kwa mkeo uwaachie wababe

Ukweli mtupu
 
Aisee wee una moyo.
 
Andaa uzi sisterπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ukija cheki mwisho wa mwezi hizo hela ulizotuma kwa warembo kwa kweli u aweza anzisha biashara ya kuuza chupi za warembo
 
Kumbe ni wewe? Yule jamaa si ni shoga? Hukujua?
πŸ˜‚πŸ˜‚au alifika jamaa akamwambia amshikeshike na ampige vidole jamaa, kuna story malaya mmoja chuga alinisimuliaga alipata mteja walivyofika lodge kumbe mteja ni shoga likamwambia aliingize vidole na alishikeshike likampa na hela kibao, malaya wengi wanakumbana na mikasa sana
 
Hamna mtu mwenye akili timamu asie kua na poor family background, anae weza kuendekeza uzizi, wengi ni limbukeni, urban-rural acitement, ushamba wa pesa pombe mkumbo nk..........ila kwa ukweli uzizi hauwezi kuacha mtu salama ata siku moja
Nakumbuka happyness alivyoniambukiza ghonorea aisee yule demu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wee jamaa jemedari kichizi. Na demu kuwa mbovu ukamtunuku simu ya rununu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…