Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Leisure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!...Ukimsoma mleta mada katikati ya mistari unaiona furaha kwa huyo mtu yakimtokea aliyoyandika?
May I?
🤣Huyu ndo ataiona mbingu sasa
Ukweli mtupuPamoja na yote, uzinzi unaweza kukuingiza kwenye dimbwi la umasikini usipokuwa makini. Wenzetu hawa wanajua kuomba tu, sasa jifanye wewe don mjini kila ukiambiwa "niazime 100k" unatoa tu huki ukijua kipato chako tia maji.
Ukipigika ndio utajua zile 10k, 50k na 100k zilikuwa na faida gani
BalaaAcheni unafiki nyinyi...hii dunia sio ile..! Mnajifanya watakatifu hapa na nyuma ya keyboard wengine mnatype mkiwa mko lodge mbaya zaidi mnachezea tope!
Aisee wee una moyo.[emoji3][emoji2][emoji2][emoji3] Mkuu me nimewahi kumfata dem Singida ambae sijawahi kumuona(na ndo ilikuwa mara ya kwanza kufika Singida) nikafika nikachukua lodge nikaandaa na msosi afu inatokea manzi mbovu mno afu ina mtoto mgongoni. Yule mtoto kama katumwa ukimgusa mama yake kinalia .nili mind kweli tulikuwa tepanga kukaa siku3 nikamwambia nimepata dharura kesho yake nikapita hivi. Apo nishaingia gharama si chini ya laki na nusu na simu ya mkononi kama zawadi.
Tehel tehelHuo uongo..acheni illusion za kishenzi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Andaa uzi sister😂😂Mikosi nuksi na mabalaa, sio kila bwana anakugharamikia kwa kheri, mwingine anakuja kuiba nyota yako.
Pia wengi kwa kupenda vya bure wameuawa, wamedhalilishwa, wamebakwa, wamepigwa picha za uchi na madhila mengi wamefanyiwa.
Mi nilipata mbaba mmoja ana mijipesa hake ya haja. Akawa ananihonga hadi milioni tano, kumbe ana lake jambo.
Kunitongoza hanitongozi ila anataka tukae wote hadi usiku mkubwa.
Siku moja akaniambia leo utalala kwangu, nikamwambia sawa. Basi tukaenda hadi kwake, kilichonipata sitaki kusimulia
Ukija cheki mwisho wa mwezi hizo hela ulizotuma kwa warembo kwa kweli u aweza anzisha biashara ya kuuza chupi za waremboPamoja na yote, uzinzi unaweza kukuingiza kwenye dimbwi la umasikini usipokuwa makini. Wenzetu hawa wanajua kuomba tu, sasa jifanye wewe don mjini kila ukiambiwa "niazime 100k" unatoa tu huki ukijua kipato chako tia maji.
Ukipigika ndio utajua zile 10k, 50k na 100k zilikuwa na faida gani
😂😂au alifika jamaa akamwambia amshikeshike na ampige vidole jamaa, kuna story malaya mmoja chuga alinisimuliaga alipata mteja walivyofika lodge kumbe mteja ni shoga likamwambia aliingize vidole na alishikeshike likampa na hela kibao, malaya wengi wanakumbana na mikasa sanaKumbe ni wewe? Yule jamaa si ni shoga? Hukujua?
Unalijua pepo mufilis wewe?Kwanini kwanza umtoe dem arusha kwani dar wameish , unalipa hotel super deluxe ya nini huku vyumba vya 30 vipo lodge vizuri tu
Nakumbuka happyness alivyoniambukiza ghonorea aisee yule demu 😂😂😂Hamna mtu mwenye akili timamu asie kua na poor family background, anae weza kuendekeza uzizi, wengi ni limbukeni, urban-rural acitement, ushamba wa pesa pombe mkumbo nk..........ila kwa ukweli uzizi hauwezi kuacha mtu salama ata siku moja
Unataka ugundue nini?Kwani hana tundu la ziada (by pass) au nalo huwa linavuja
Pole aiseeNakumbuka happyness alivyoniambukiza ghonorea aisee yule demu 😂😂😂
Hilo kweli.Uzinzi huleta nuksi kwenye biashara na maisha
Wee jamaa jemedari kichizi. Na demu kuwa mbovu ukamtunuku simu ya rununu[emoji3][emoji2][emoji2][emoji3] Mkuu me nimewahi kumfata dem Singida ambae sijawahi kumuona(na ndo ilikuwa mara ya kwanza kufika Singida) nikafika nikachukua lodge nikaandaa na msosi afu inatokea manzi mbovu mno afu ina mtoto mgongoni. Yule mtoto kama katumwa ukimgusa mama yake kinalia .nili mind kweli tulikuwa tepanga kukaa siku3 nikamwambia nimepata dharura kesho yake nikapita hivi. Apo nishaingia gharama si chini ya laki na nusu na simu ya mkononi kama zawadi.