Uzinzi ni gharama kubwa, kama wewe sio risk taker tulia kwa mkeo uwaachie wababe

Uzinzi ni gharama kubwa, kama wewe sio risk taker tulia kwa mkeo uwaachie wababe

Uzinzi + pombe=?????

Lakini hivi vitu vinanihamasisha kutafuta hela
Kinacho kuhamasisha kutafuta hela ni malengo yako uliyojiwekea.
Kasi ya kutafuta hela kwa mtu wa miaka 25 mwenye lengo la kuwa na billion moja kabla hajafika moaka 40 ni kubwa kuliko kasi ya mtu mwenye miaka 25 ambaye ana lengo la kujenga nyumba ya kuishi ya vyumba vitatu na sebule akiwa na miaka 40.

Kilichomo ndani yako ndicho kinachokupa msukumo wa kutafuta hela.

Wazinzi sio matajiri, na matajiri wakubwa hawana kabisa muda na ngono na pombe na bata.

Ukienda kiwanja gani ndio utamkuta Mo anakula bata?
 
Kwani weee unadhani kiasi gani cha fedha kinakutosha ili uzitosheleze tamaa zako za mwili?

Hela inaweza ikakufanya ice cream 🍦 ya Sno Cream ukaiona kama kimpumu, ukijisikia kula ice cream 🍦 ukakodi private jet na kwenda Paris kula ice cream 🍦 na kurudi na bado usitosheke. Mwili nyoko
😂😂😂😂Ety mwili nyoko🙌
 
Kabisaa ipo hivi mwanaume kuwa na mkeo na rafiki mmoja wa kumdiny* basi.

Ila kuwa na mademu wengi iseee ni garama sanaa, kuwa na mkeo.

Mfano mm huwa nina demu flan ananiitaa kaka hadi leo na tunatiana kama kawaidaa, ingawa demu wangu anajua ni wifi huyoo..
 
Unamleta Dar demu kutoka Arusha, umemlipia tiketi ya ndege go and return, umelipa hoteli chumba super deluxe 150,000/, maandalizi kibao umeyafanya ambayo yamegharimu hasa kipato chako.

Umeenda airport kumpokea mchuchu, mashamsham kibao, halafu demu anakwambia ameanza kubleed wakati wa take off.

Unafanyaje mkuu? Utaendelea kulipia hoteli hadi amalize au utamrudisha na ndege ya kesho alfajiri?

Uzinzi una gharama kubwa sana, kuanzia kimwili, kiafya, kiroho, kiuchumi na kiakili.

Uzinzi unachakaza mwili, unazeeka haraka. Pia uzinzi ni lango la magonjwa mengi yatakayokufanya uingie hasara kubwa ya kifedha kuyatibu.

Pia uzinzi unaweza kukuvunjia heshima kwa watu wanaokuzunguka na jamii yako kwa ujumla.

Uzinzi ni bonge la risk, kama sio risk taker tulizana tu.
Akili za mwafrika,watu weupe,"Caucasians"huamini black people only cares about their dicks"wakipata mali,starehe ni ngono,akinunua gari zuri,Ili ajihisi amefika level nyingine,sio kwamba atachukua familia,au marafiki apige tour ya kibabe Dar Mtwara,Ruvuma kupitia Masasi,au Dar Bukoba mpaka Uganda,yeye ataenda kuosha kitaa,makelele Mengi Ili mademu wamuone,angoe mmoja,na atandike hata wake za wstu,anaona amepata ridhiko la moyo!!!!!
Hakuna gharama kwenye uzinzi,we have there,we have done that,we learnt the hard way!!!ni kupoteza muda,there is more to life than womanizing!!
 
Duu sikuwahi kuwaza hili kuwa demu kalazimisha kuja huku akiwa bleed maana yake anataka ailiwe jicho.aseeee
Kwani wewe unaonaje hapo? tumia akili yako ya kawaida tu, mtu anasafiri umbali mrefu kukufuata huku akijuwa wazi unahitaji nini kutoka kwake lakini anakuja halafu anakutega hivyo ina maana wewe hujiongezi?
 
Hakuna amani na furaha bwana. Waulize wamama watu wazima walioishi maisha ya kudanga enzi za usichana wao maana wapo watakwambia. Haulipi na hauna faida.

Kuna mmoja aliishi hayo maisha kweli kwa kipindi hicho alikuwa na the so said "amani na furaha" tena alikuwa na body kinanda. Rangi tamu. Akaolewa lakini kwa sababu ya kurukaruka akaachika. Akaendelea na uzinzi. Akaukwaa ukimwi. Umri ukasogea papuchi ikawa tafrani no taste.

Akaanza kuvuta shuka kumekucha. Yupo tu leo anahangaika kwa dada zake na anategemea watoto wa dada yake wamuuguze maana hali si hali. Yani anawategemea ndugu zake inshort. So furaha na amani ni ya kitambo tu. Kwani hata sigara si inampa mtu amani na furaha. Matokeo yake huwaga ni nini.

Hata goliath alikuwa na furaha na amani alivyokua anaonea watu. Hata mwizi akikaba anafuraha na amani..lakin zinapofika 40. Hakuna dhambi ambayo haileti furaha maana lazima dhambi ikupe fake satisfaction. Ila pale shetan anapoanza kutudai vya kwake haloooo....
Uko poa,I like you...
 
Akili za mwafrika,watu weupe,"Caucasians"huamini black people only cares about their dicks"wakipata mali,starehe ni ngono,akinunua gari zuri,Ili ajihisi amefika level nyingine,sio kwamba atachukua familia,au marafiki apige tour ya kibabe Dar Mtwara,Ruvuma kupitia Masasi,au Dar Bukoba mpaka Uganda,yeye ataenda kuosha kitaa,makelele Mengi Ili mademu wamuone,angoe mmoja,na atandike hata wake za wstu,anaona amepata ridhiko la moyo!!!!!
Hakuna gharama kwenye uzinzi,we have there,we have done that,we learnt the hard way!!!ni kupoteza muda,there is more to life than womanizing!!
Well said mkuu
 
Unamleta Dar demu kutoka Arusha, umemlipia tiketi ya ndege go and return, umelipa hoteli chumba super deluxe 150,000/, maandalizi kibao umeyafanya ambayo yamegharimu hasa kipato chako.

Umeenda airport kumpokea mchuchu, mashamsham kibao, halafu demu anakwambia ameanza kubleed wakati wa take off.

Unafanyaje mkuu? Utaendelea kulipia hoteli hadi amalize au utamrudisha na ndege ya kesho alfajiri?

Uzinzi una gharama kubwa sana, kuanzia kimwili, kiafya, kiroho, kiuchumi na kiakili.

Uzinzi unachakaza mwili, unazeeka haraka. Pia uzinzi ni lango la magonjwa mengi yatakayokufanya uingie hasara kubwa ya kifedha kuyatibu.

Pia uzinzi unaweza kukuvunjia heshima kwa watu wanaokuzunguka na jamii yako kwa ujumla.

Uzinzi ni bonge la risk, kama sio risk taker tulizana tu.
Kwani lazima uchukue hao wa kulipia tiketi za ndege? Humo Buza si wamejaa wa bei Chee kabisa
 
Akili za mwafrika,watu weupe,"Caucasians"huamini black people only cares about their dicks"wakipata mali,starehe ni ngono,akinunua gari zuri,Ili ajihisi amefika level nyingine,sio kwamba atachukua familia,au marafiki apige tour ya kibabe Dar Mtwara,Ruvuma kupitia Masasi,au Dar Bukoba mpaka Uganda,yeye ataenda kuosha kitaa,makelele Mengi Ili mademu wamuone,angoe mmoja,na atandike hata wake za wstu,anaona amepata ridhiko la moyo!!!!!
Hakuna gharama kwenye uzinzi,we have there,we have done that,we learnt the hard way!!!ni kupoteza muda,there is more to life than womanizing!!
Sasa mbona tunapamgiana starehe.
Mtu kahustle kapata hela zake starehe yake yeye ni kichovya asali
 
Kinacho kuhamasisha kutafuta hela ni malengo yako uliyojiwekea.
Kasi ya kutafuta hela kwa mtu wa miaka 25 mwenye lengo la kuwa na billion moja kabla hajafika moaka 40 ni kubwa kuliko kasi ya mtu mwenye miaka 25 ambaye ana lengo la kujenga nyumba ya kuishi ya vyumba vitatu na sebule akiwa na miaka 40.

Kilichomo ndani yako ndicho kinachokupa msukumo wa kutafuta hela.

Wazinzi sio matajiri, na matajiri wakubwa hawana kabisa muda na ngono na pombe na bata.

Ukienda kiwanja gani ndio utamkuta Mo anakula bata?
Hizi sasa fix mkuu. Yaani niwe billionea alafu nifanye starehe beach kidimbwi au nitombee wanawake wa kawaida🤣🤣🤣🤣
Matajiri wanasafirisha malaya kwa private jet bwana. Hii kitu bwana ukiwa na hela haikwepeki. Pablo escobar used to fly in prostitutes from around the globe apige party na wana.
 
Akili inataka.
Moyo unataka.
Mwili unataka.
Mazingira yanashawishi.
Ndio matumizi ya pesa.
Kwasababu nafanya kazi...
Wakuu me nafanya ninachoona sahihi kitakachotokea ntajua mbele.
Usiikurubie al-zinaa ila al-kwa dharura.
 
Back
Top Bottom