Uzito uko wapi kwa Urusi kuipatia silaha nzito Yemen ikaipiga Marekani?

Ngoma hii hapa chini πŸ‘‡

 
Inatakiwa vita vipiganwe America baina ya Venezuela na Guyana ili US akiingilia akutane na Mrusi Venezuela
 
Muhammad sio mtume mjomba msipende kulinganisha Bible na vitu vya hovyo
 
πŸ˜„ Mnakwepa huku na huku ngoma ni hi hapa wala sio Yesu.

In Deuteronomy 18:17-19, Moses(as) prophesied:

The foretold prophet in this prophecy was not Jesus Christ(as), nor any other Israelite prophet, because none of them ever claimed to be the prophet promised here. We read in the Gospel of John (1:19-21) that in the time of Jesus, the Jews were expecting the advent of three prophets. Firstly Elias, secondly Christ(as), thirdly a prophet of such universal fame that in his case no other specification was thought necessary. β€œThe Prophet” was enough to convey what was meant. Jesus(as) claimed to be the Christ and he regarded John the Baptist as Elias (Matthew 11:14, 17:10-13). Further, he prophesied about his second advent in the last days when true faith would disappear from the earth (Luke 18:8).

Haggai 2:7
I will shake all nations, and the Ahmed of all nations will come, and I will fill this house with glory,’ says the LORD Almighty.

This prophecy in Haggai not just says that Prophet Muhammad is to come but also confirms that Prophet Muhammad has been prophesied in various scriptures as he will be the desire of all nations.

Translators have used incorrect words to translate the word Muhammad.

Ben Yehuda’s Hebrew-English Dictionary defines Muhammad as praised one.

This is the correct word to use but it is better that the translations use the original word β€œMuhammad”.
 
Sio kweli acha kudanganya watu bwana, Mohammed hakwenda posa huyo Aisha akiwa na miaka 18, ni uongo kabisa na ukweli uko hapa chini πŸ‘‡


View: https://medium.com/@mohammedrazaesmail/did-prophet-muhammad-marry-a-6-year-old-girl-e38702d3f51d

πŸ˜„ wewe ulikuwepo wakati Mtume Muhammad anamuowa bi Aisha? Walijua vipi umri wake ni miaka 6 hizo ni fake story we fatilia vizuri utakuta sehemu wanasema 6, 9 na 19 sa nani yuko sawa katika hao?

Acheni ujinga Aisha hakuolewa kinguvu yeye alikubali na wazazi wake walikubali, na alishi vizuri na Mtume Muhammad bila matatizo ya aina yoyote yale.

Mtume Muhammad aliowa kwa kuamrishwa na Mungu amuowe nani si kama mnavyo fikiria nyie.

Kwanini hamuwataji wanawake alio wao wakubwa kiumri πŸ˜„ Wengine walikuwa wamefiwa na wanaume zao hamjioni kama nyie mnamatatizo ya kiakili kumzulia Mtume wa Mungu uwongo,na dalili hamna ya kuthibitisha hizo hadithi zenu ni kweli πŸ’―
 
Muhammad sio mtume punguza hasira. Wala Allah sio Mungu. Muhammad alikuwa Mario kaolewa na mmama mtu mzima. Na huyo mama ndie aliyempa Muhammad I utume. Na mtume baada ya kupewa Quran alichizika kwanza.
Eti aliye mpa utume πŸ˜„ nyie kweli vichaa.

Bibilia zenu zinawambia Mussa alisema Mtume atakaye kuja atakuwa kama yeye.

Yesu hakuwa kama Mussa.

Yesu hakuowa wala hana watoto, afu Yesu nyie mnasema ni Mungu, vipi mara tena kawa Mtume haha πŸ˜„ kwa hio tuambieni Yesu ni Mtume au Mungu?

Kama ni Mungu, basi hapo Mussa hakumtaja Yesu, ilikuwa kamtaja Mwingine.

Ukristo ni uharo mtupu mara mtoto wa Mungu, mara Mtume mara Mungu kaja kwa umbo la kibinadamu πŸ˜„

Deuteronomy 34:10 Yuko wapi Mtume wa Kiyahudi kama Mussa, nionyeshe kama mnaweza. Sababu hawezi kuja Mtume kama Mussa kutokea kwenya uko wa Ishaq mtabaki mnamsubiri sana πŸ˜„ Nyie kubalini tu Mussa alimkusudia Mtume Muhammad ambaye ni katika ma cousin zao.


Mtume anaye muongelea Mussa si wakutokea kwa Mayahudi, ni nani kama si Mtume Muhammad?

Yesu hakuwa Myahudi?
 
Somo walilotoa hamas mpaka dunia inashangaa
Lakini ujue kifuatacho....ni Kila nchi itatoa kipigo kikali zaidi kwa vikundi hivi vya kigaidi kwa kwa siku za usoni. Maana Israel kafanya na jumuiya ya kimataifa umemwangalia na kumuacha aendelee kufanya atakavyo. Niko hapa.... Utasikia China nae kalianzisha kwa wale waislamu wake
 
Wewe uislam ungekubali watu watembee uchi, pombe na zina iwe inaruhusiwa we ungekuwa Muislam [emoji817]
Nakwambia uislamu hata ungeyataka nakuyakubali wanayoyataka wao basi wangesema uislam unawalazimisha kila kitu
Washaamua kuuchukia uislam huna lakuwaambia
Uislamu unaeka masharti uloeka kwa maslahi mapana kabisa ya wanaadamu wenyewe ila hatujitambui ama twafanya kusudi ama twapitikiwa
 
Naunga mkono hoja
 
Busara hizo kweli mimi sina na sizitaki.
Yaani Ukraine apewe ndege za F16 halafu zipige meli yangu kubwa ya kivita na kuiunguza yote halafu aliyempa Ukaraine ndege hizo nisimuunge mkono adui yake !
Vita ni gharama
Sasa upo katika vita halafu utoe silaha zako bure kwa nchi nyingine?
 
Nikwamba hata akiachwa ama alivyo achwa hana madhara
Suala la kuondoka ghaza nisuala la kuda muda tuu
Huko china kutesa waislam hakuanza leo na wala hataanza kesho ila uislam utaendelea
Kule Myanmar waliwatesa kwasasa wamewapa afuan kidogo
Kuwatesa waislam hakuwezi kuwafanya muuondoe uislam yaani mnajidanganya
Uislam kuitawala dunia nisuala lililowazi kabisa nalisilo nashaka ndanimwe nisuala la muda tuuuu
 
Unaangaliaga taarifa ya habari jinsi wapalestina wanavyolia au unasikiliza stori za vijiwe vya kahawa
Wewe ulitaka wacheke sasa yaani mnapigwa mabomu halaf mucheke au unataka wacheke kama wanavyocheka pale Ukraine wakipigwa mabomu na Russia
 
Huu utetezi hauna mashiko, huyu mtume alikuwa kibenten aliyetumia vizuri fursa. Kuhusu kuoa watoto, angefufuka leo, Kisutu kungemhusu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Upo serious mkuu?πŸ˜€
 
Russia hawezi kuwapa silaha au kuwasaidia adui wa Israel.
Sabubu Israel walikataa kuipatia Ukraine sila na mfumo wa Iron Dome ili wakapambane vizuri na Russia.

Hizo ni ndogo zako za mchana.
 
Sikusoma makala yako yote, ila ninajibu paragrph ya kwanza tu ambayo ni uwongo mtupu. Urusi iliivamia Ukraine kwa makusudi tu, Marekani haina ushiriki wowote katika vita hiyo. In fact Marekani ilitangaza kuwa Urusi ilikuwa inajiandaa kuivamia Ukraine kutokea pande tatu, na juhudi za kidiplomasia zikaanza kumshawishi Puti asianzishe vita. Putin huyo aliyekuwa akikaa kwenye meza ndefu sana akadanganya kuwa hakuwa na mpango wa uvamizi huo lakini mwishowe kweli akaivamia Ukraine. Kwa hiyo kupindisha ukweli kwa kuisingizia Marekani klwenye vitanhiyo ni uwongo mkubwa sana. Kwanza Urusi ilianza kwa kuivamia Ukfraine mwaka 2014 na kujimegea peninsula ya Crimea. Safari walikuwa wanataka kjuichukua Ukfraine yote au nusu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…