Sham777
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 335
- 840
- Thread starter
- #21
Sista yangu ananikubali sana awezi niona mim mzigo ..Mkuu jitahidi uhame hapo. Wanakuona mzigo sema wanaogopa tu kukuambia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sista yangu ananikubali sana awezi niona mim mzigo ..Mkuu jitahidi uhame hapo. Wanakuona mzigo sema wanaogopa tu kukuambia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahhah ndio maana napenda sana kukaa room akiwepoUmesahau jambo hili. Usimchunguze sana shemeji ako, anaweza kuwa anatumia hii kitu kila jioniView attachment 1374465
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa nasubilia kuitwa maana nimesha piga interview kama 5 hiviSorry to say that but ur stupid! Alafu uko proud kabisa kukaa kwa shemejio miaka mi3? Unasubiri ugali kwa kengele? Mwanaume huyo! Hebu ona aibu kidogo, katafute hata vibarua vya ujenzi huko kwny masaiti kha!
Hongera Mkuu, pole kwa msotoUmetisha sana aisee.. Hizi huwa nafanya pia ndio maana nimedumu sana hapa.. Huwa naamka mapema sana kabla ya mtu yeyote, napukuta gari yake , naandaa madogo wenyewe akiamka wanakuta mambo mengi yasha kamilika..
HahahaUpo kwa shemeji halafu unaita eti ‘chumbani kwako’. [emoji15][emoji15]
Hivi mnadhani hizo kazi ni nje nje tu? Fundi anakua anasaidia fundi wake kabisa ..hata huko kumejaa wanapeana wao kwa wao..maisha sio kama unavyofikiria!Sorry to say that but ur stupid! Alafu uko proud kabisa kukaa kwa shemejio miaka mi3? Unasubiri ugali kwa kengele? Mwanaume huyo! Hebu ona aibu kidogo, katafute hata vibarua vya ujenzi huko kwny masaiti kha!
Hahahaaa Shem uko vizuri aisee jiskie kama upo nyumbani ni mambo ya mpitotu haya utakuwa poatu. Tunakupenda.Umetisha sana aisee.. Hizi huwa nafanya pia ndio maana nimedumu sana hapa.. Huwa naamka mapema sana kabla ya mtu yeyote, napukuta gari yake , naandaa madogo wenyewe akiamka wanakuta mambo mengi yasha kamilika..
Ichi kipindi cha mpito tu yatapita yote hayaHahahaaa Shem uko vizuri aisee jiskie kama upo nyumbani ni mambo ya mpitotu haya utakuwa poatu. Tunakupenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan life sio simple kazi nime fight sana sijapata
Kumbe bado mmbichi 😆😆28 now boss