Uzoefu: Naishi kwa Shemeji yangu huu mwaka wa tatu

Uzoefu: Naishi kwa Shemeji yangu huu mwaka wa tatu

Nina 21 niko home ila napaona pachungu haswa..
Bahati mbaya sina dada. Huu mwaka ndio wa mwisho.. Hadi nikifika birthday yabgu june inabidi niwe nishajua 2021 nitaishije kitaa.
ila 28 parefu boss
Yaan boss usije kujidanganya ukaondoka kwenu ili hali hawaja kufukuza au hakuna tatizo lolote.. Mim nataman sana ningekuwa na kwetu panapo eleweka kila kitu free..
 
Privacy utaipata ukiwa kwako, najua at your age unatamani uwe na faragha hata ukimleta demu u-enjoy naye hapo, ni watu wachache watakubali ufanye hivyo coz hapo kuna watoto wadogo, tunasema utawafundisha tabia mbaya.

Kingine, waheshimu na kuwasaidia watoto kimasomo, kuna wimbi la vijana(wajomba/baba wadogo) kuwaharibu watoto kingono, usifanye hivyo ni dhambi kubwa sana, mashoga/lesbians wengi wanatokana na hawa watu.

So privacy itakuja ukiwa kwako, vumilia.
Thanks sana kwa ushauri nazingatia sana hili..
 
Mara unaishi kwa shemeji mara mama mkwe msumbufu..humu JF wakweli wachache sana.
Boss ujasoma uzi ukauelewa.. Anae sumbuliwa na mkwe ni jamaa yangu besti na sio mim hata sijaoa hata demu mwenyewe sina
 
Mkuu rudi kijijini kalime mwisho kukaa kwa shemeji ni mwaka mmoja tu.
Boss kilimo nacho kinahitaji uwe na shamba pia nakamtaji ka mbolea.. Na isitoshe sisi ni wale wa mjini mjini tu hata bush kwetu hatupafahamu
 
Boss kilimo nacho kinahitaji uwe na shamba pia nakamtaji ka mbolea.. Na isitoshe sisi ni wale wa mjini mjini tu hata bush kwetu hatupafahamu
Mkuu kwa mfumo wa nchii hii jaribu kubadili mbinu usije kuzeekea kwa shemeji
 
Sham777,
Point number 8...kaa mbali na beki tatu. Narudia tena kaa mbali na beki tatu wa shemeji yako. Usidhubutu/usijaribu kula beki tatu shemeji atakushushia sana heshima.

Wakati wa msosi kuwa wa mwisho kula ili uweze kula kwa kiwango chako.. Ukiwa wa kwanza utajistukia na kama umeshakula ukirudia utaonekana mlafi..bora kuwa wa mwisho.

Acha shobo na shemeji mkutane kwenye issue za maana. Maswala ya kupiga story na mazoeya mabaya na mashemeji ni jau sana...

Ovaaa
 
KITAULO, Boss point namba 8 inazingatiwa sana na isitoshe angalau nina jielewa sana siwezi fanya iyo ishu..
 
Back
Top Bottom