Sham777
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 335
- 840
- Thread starter
- #101
Hahahahahahha dahh binadamu raha sanashemeji yangu alinileteaga habari hizo akawa analala sebuleni enzi hizo nina chumba na baraza tu hataki kuondoka kwa dadake,nikaanza mtindo akishalala akishazima taa tu ya sebuleni kuanza kulala nampa dadamtu mgegedo wa kukata na shoka anapiga yowe chumba kizima usiku kucha,shemeji kavumilia kashindwa katafuta marafiki waliosoma wote sijui chekechea huko kaenda kujibanza nao gheto