Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweki nimefanya ivyo kwa sasa nasomea Information technology .. Nashukuru sana kwa ushauri wakoJaribu kuongezea na fani nyingine inayoweza kuwa mbadala wa hiyo....au nenda veta soma hata fani ya mechanical,ingia gereji upate shilingi mbili tatu...huku ukisubiri kupata kazi uliyoisomea
Navumilia uzuri tunaishi vizuri sana .. Shemeji hanaga matatizo na mtu..ila soon nikipata kazi naondokaWengi watakukashifu kwa maana yanaweza kuwa hayaja wakuta..pole Sana aisee
Mimi nilikaa kwa shemeji zaman Sana udogon nikiwa shule ya msingi Tena wakat wa likizo ila machache niliyoona yalinifanya nichukie maisha ya kukaa kwa mashemej so kwako najua itakuwa mtihan Sana katika utu uzima huo
Kazana utoke hapo muda utakapofika,vumilia Hadi muda sahihi ukifika usije ukatoka kwa kulupuka ndgu
Ngarash.
Shemeji umeamua ufunguke naona 😀😀😀[emoji122][emoji122][emoji122] Ushauri mzuri sana huu,kuna madogo huwa wanajisahau kabisa na kuona kama ni kwao.
macson
Ushapiga interview ngapi mkuu?😀😀😀Navumilia uzuri tunaishi vizuri sana .. Shemeji hanaga matatizo na mtu..ila soon nikipata kazi naondoka
Kwa miaka 3?Ni zaidi hata ya 6 mkuu..
Weee jiandae kurudisha mpira kwa kipa tena kule bush.labda na dada 🤣🤣🤣Hawawezi kuachana leo wala kesho wanapendana sana ..
Sham777,
shemeji yangu alinileteaga habari hizo akawa analala sebuleni enzi hizo nina chumba na baraza tu hataki kuondoka kwa dadake,nikaanza mtindo akishalala akishazima taa tu ya sebuleni kuanza kulala nampa dada mtu mgegedo wa kukata na shoka anapiga yowe chumba kizima usiku kucha, shemeji kavumilia kashindwa katafuta marafiki waliosoma wote sijui chekechea huko kaenda kujibanza nao gheto
Hahahahahhahahaha dahh shida sana aisee...Umenikumbusha siku tumekula makofi mi na dadayangu kisa kugombelezea shemeji kalala nje siku 4 na housegirl.
Jamaa katoka kucheat na vibao juu tukala [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2297]
Kwa Mimi cha pombe kwa Shemeji sipawezi kabisaYaani mkuu mimi nipige deki?
Mimi?
Nioshe vyombo?
Nisafishe choo mimo?
Nimwagilie maua mimi?
Mwache ajipange ataondoka tuSorry to say that but ur stupid! Alafu uko proud kabisa kukaa kwa shemejio miaka mi3? Unasubiri ugali kwa kengele? Mwanaume huyo! Hebu ona aibu kidogo, katafute hata vibarua vya ujenzi huko kwny masaiti kha!
Endelea kujidanganya 28 mdogo??Sana mim bado kijana mdogo yaan ahahaha