Uzoefu: Naishi kwa Shemeji yangu huu mwaka wa tatu

Uzoefu: Naishi kwa Shemeji yangu huu mwaka wa tatu

Kukaa kwa shemeji sio kesi jamani cha msingi usije ukamtikia sumu ili wewe na dadako mrithi mali zake
Hahahahahaha shem ndio tegemezi nyumba zenyewe za kupanga hizi hakuna cha maana zaidi ya vitu vya ndani
 
...na tumesha wai shika hela ambazo wengine mbaka mnakuja kufa haiji tokea ukazishika kwa mkupuo.

MKUU SASA HIYO MIPESA YOTE ILIENDA WAPI MKUU [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umetisha sana aisee.. Hizi huwa nafanya pia ndio maana nimedumu sana hapa.. Huwa naamka mapema sana kabla ya mtu yeyote, napukuta gari yake , naandaa madogo wenyewe akiamka wanakuta mambo mengi yasha kamilika..
siyo unapukuta gari tu ...unatakiwa uoshe gari liwe safi kabla hajatoka na akirudi....usisahau kufua boksa zake pia we boya....pia akiwa anongea hata pumba muunge mkono huku ukicheka cheka pambaf
 
Ukiondoka hapo kwa shemeji utapata kazi,angalau ya kukuwezesha kula;kuendelea kubaki hapo inamaanisha kuna baadhi ya kazi unabagua
Amesema kwa shemeji ana amani na kila kitu anapata, ni ngumu sana kwa mtu wa hv kuwaza inje ya box maana hata kazi atakuwa anachagua na vibarua ataona sio hadhi yake. Lkn angekuwa anaishi kwa kudaiwa kodi, umeme, maji, na huku huna uhakika wa mkono kwenda kinywani, angepata shughuli ya kufanya.

Nilichojifunza katika maisha kwa miaka yangu yote 35 hapa duniani ni kwamba, anayekufanyia roho mbaya, anayekunyanyasa ndio anakufundisha maisha, ndie anakupa akili ya kutafuta any means uweze kusimama na ndie anayekupa ujasiri wa kupambana na lolote linalokuja mbele yako hata liwe gunu kiasi gani.

Hao wanaotulea na kutuonea huruma mara nyingi ndio wanatudumaza na kutufanya tushindwe kujitegemea.

Kama dada yako anauchungu na maisha yako anapenda ufanikiwe angekupa hata mtaji kidogo ukajishughulishe si wana uwezo? Lkn amekuacha mwaka wa tatu huu unamtegemea yeye na umri huo 28 kweli? Au ndio ukitaka kwenda kujitegemea anakwambia kwani hapa unakosa nini?

Maisha ni zaidi ya kula na kulala na usiogope kutoka eti utakwama, mikwamo ndio maisha yenyewe, unakwama ili akili ifanye kazi..
 
Sham777,
shemeji yangu alinileteaga habari hizo akawa analala sebuleni enzi hizo nina chumba na baraza tu hataki kuondoka kwa dadake,nikaanza mtindo akishalala akishazima taa tu ya sebuleni kuanza kulala nampa dada mtu mgegedo wa kukata na shoka anapiga yowe chumba kizima usiku kucha, shemeji kavumilia kashindwa katafuta marafiki waliosoma wote sijui chekechea huko kaenda kujibanza nao gheto
 
Back
Top Bottom