Uzoefu wako kwenye ushirikina ni upi?

Uzoefu wako kwenye ushirikina ni upi?

Screenshot_20211205-202808.jpg
 
  • Uliwahi kurogwa?
  • Uliwahi kuroga?
  • Una chale mwilini?
  • Ulisimuliwa tuu?
  • Ulishawahi kupewa masharti magumu yasiyotekelezeka?
  • Ulishawahi kudalaliwa?
  • Ulishawahi kutapeliwa?
  • Una hirizi?
  • Ulishawahi kunyweshwa kombe?
  • Ulishawahi kuzikiri uchi? Makaburini?
  • Ulishawahi kuvunja nazi njia panda?
Nknk

Uzoefu wako ni upi hasa...! FUNGUKAAA...!!! Dunia ya ushirikina ni pana sana... Na kama bado hujaishiriki basi kuna hiki chuo cha maisha hujafuzu! Sometimes ni muhimu kuroga japo kidogo tu ili uongeze cv yako...!
Kurogwa... yes ila kuloga sijawahi, sijawahi kwenda kwa sangoma
 
Nimekumbuka nilivyopewa hirizi nikapewa maelekezo ya kuifunga pamoja na vipande vya hela zote za noti na shilling 250

Halafu eti kila jumanne nichome ubani dadeki matokeo nikayaona lakini kwa mda fulan ngoma ikaishiwa nguvu

Dunia ina mengi mno

Nilikuja kushangaa eti jani la kisamvu nalo kutumika kwenye ushirikina
 
Mkuu nieleweshe pls nikiwa na damu kubwa kivip. Maana nimekwama sana mkuu wangu kwenye swala LA biashara mpaka mke kanikimbiwa wiki iliyopita kwakua sina kipato. Natamani SNA kua na nyota ya biashara nipate na kipato nisaidie pls kama unaweza
 
Mkuu nieleweshe pls nikiwa na damu kubwa kivip. Maana nimekwama sana mkuu wangu kwenye swala LA biashara mpaka mke kanikimbiwa wiki iliyopita kwakua sina kipato. Natamani SNA kua na nyota ya biashara nipate na kipato nisaidie pls kama unaweza
Kafara la damu ya mnyama kama ngombe au mbuzi kuanzia watatu.. Lingine la haraka zaidi ni damu ya mtu
 
Back
Top Bottom