Uzoefu wako kwenye ushirikina ni upi?

Uzoefu wako kwenye ushirikina ni upi?

si kweli ni 1.uonevu na 2. wivu ndiyo chanzo kikubwa, ninapata mashaka na uhusika wako ktk haya maswala, pengine unafanya hivi for self interest
Mashaka yako ni kwavile hutaki mtazamo tofauti na kile unachokiamiani ama pengine kuna mahali unashindwa kupaelewa
Nimezungumzia chanzo ni mitifuano katika familia umesema hapani ni uonevu na wivu... Hivi haya uliyotaja hayasababishi mitifuano?
 
Ushirikina upo, Nimeumizwa muda mrefu sana,
Nimepoteza mengi sana bila kufahamu,
Ila sasa nimestuka tena kupitia hapa hapa JF,
Ndio nimeanza kuchukua hatua ,kdg uahueni nauona ,
Mungu nisaidie, ipo siku ntaleta story kamili hapa.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Ushirikina upo, Nimeumizwa muda mrefu sana,
Nimepoteza mengi sana bila kufahamu,
Ila sasa nimestuka tena kupitia hapa hapa JF,
Ndio nimeanza kuchukua hatua ,kdg uahueni nauona ,
Mungu nisaidie, ipo siku ntaleta story kamili hapa.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Leta story iyo, tuachane na wachawi wanaodanganya watu kwamba uchawi haupo. Hafu wanaroga kidogo kidogo
 
Ushirikina upo, Nimeumizwa muda mrefu sana,
Nimepoteza mengi sana bila kufahamu,
Ila sasa nimestuka tena kupitia hapa hapa JF,
Ndio nimeanza kuchukua hatua ,kdg uahueni nauona ,
Mungu nisaidie, ipo siku ntaleta story kamili hapa.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Zidi kusimama na Mungu..yeye pekee ndio tiba kamili
 
Leta story iyo, tuachane na wachawi wanaodanganya watu kwamba uchawi haupo. Hafu wanaroga kidogo kidogo
Punde Ntaileta tu mkuu,
kifupi nimetokea hata kuwachukia mapadri na viongozi wengine wa dini kwan wamehadaa watu wengi kwenye kifungo cha dini za kikoloni,wkt huko matatizo hayatatuliki na watu wamejaaa shida kibao kila kukicha.
Waafrika turudi kwenye asili yetu.


Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Punde Ntaileta tu mkuu,
kifupi nimetokea hata kuwachukia mapadri na viongozi wengine wa dini kwan wamehadaa watu wengi kwenye kifungo cha dini za kikoloni,wkt huko matatizo hayatatuliki na watu wamejaaa shida kibao kila kukicha.
Waafrika turudi kwenye asili yetu.


Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Nasubiri hii story.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sipendi mtu afanikiwe, mimi ukiniletea ujinga kidogo tu nakuroga ukifanikiwa kama nakujua nakuroga, ukijifanya mjuwaji nakuroga pumbavu!!!
 
Punde Ntaileta tu mkuu,
kifupi nimetokea hata kuwachukia mapadri na viongozi wengine wa dini kwan wamehadaa watu wengi kwenye kifungo cha dini za kikoloni,wkt huko matatizo hayatatuliki na watu wamejaaa shida kibao kila kukicha.
Waafrika turudi kwenye asili yetu.


Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Absolutely hata wachawi wanashauri ivyo ,ikiwa nao wamejificha huko huko, leta story hiyo itatusaidia wengi sana na kuondokana kifungo Cha dini, Dini ni Pana sana ila inatufunza kwa asilimia 5 tu, izo 95 zimefichwa ili tusijue kitu au tuendelee kuwa kifungoni.
 
Punde Ntaileta tu mkuu,
kifupi nimetokea hata kuwachukia mapadri na viongozi wengine wa dini kwan wamehadaa watu wengi kwenye kifungo cha dini za kikoloni,wkt huko matatizo hayatatuliki na watu wamejaaa shida kibao kila kukicha.
Waafrika turudi kwenye asili yetu.


Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Ukiileta usisahau kunitag
 
  • Uliwahi kurogwa?
  • Uliwahi kuroga?
  • Una chale mwilini?
  • Ulisimuliwa tuu?
  • Ulishawahi kupewa masharti magumu yasiyotekelezeka?
  • Ulishawahi kudalaliwa?
  • Ulishawahi kutapeliwa?
  • Una hirizi?
  • Ulishawahi kunyweshwa kombe?
  • Ulishawahi kuzikiri uchi? Makaburini?
  • Ulishawahi kuvunja nazi njia panda?
Nknk

Uzoefu wako ni upi hasa...! FUNGUKAAA...!!! Dunia ya ushirikina ni pana sana... Na kama bado hujaishiriki basi kuna hiki chuo cha maisha hujafuzu! Sometimes ni muhimu kuroga japo kidogo tu ili uongeze cv yako...!
Mie nimewahi kuvunja yai njiapanda sema sasa sikujua kama ni njia panda sahihi au lah maana baadae sana baada ya kuvunja yai ndo nikaja kusikia kua kuna njia panda dume na jike na zina kazi tofauti
 
Mie nimewahi kuvunja yai njiapanda sema sasa sikujua kama ni njia panda sahihi au lah maana baadae sana baada ya kuvunja yai ndo nikaja kusikia kua kuna njia panda dume na jike na zina kazi tofauti
Hahahaha nitakufafanulia
 
Back
Top Bottom