Uzoefu wako kwenye ushirikina ni upi?

Na vp ndugu yangu namna ya kujifungua katika mambo ya ajira maana yapata miaka 4 sasa na elimu ni ya degree kabsa
Tatizo la dunia hili kaka.. Graduates ni wengi ajira ni kiduchu .. Anza kufikiria namna ya kujiajiri.. Mganga asikudanganye atakutengeza upate ajira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…